kwa mwenye slave hunter hapa arusha naomba tuwasiliane ningependa kuicheki nasikia ni nzuri sana.tutaexchange series,ninazo series nyingi sana ambazo ni latest.
Ushauri mzuri sana,mimi mwenyewe kwenye mashine yangu kuna dual boot ya window 7 na Kali linux nilitumia hiyo njia ni ndefu sana bt nilikuwa sina jinsi kwasababu kali linux haikubali kuinstall dual boot kwa njia ya kawaida.window 8 na linux mint unaweza kuinstall kwa njia ya kawaida boot kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.