Funcargo ...the best car KATIKA gati hizi ndogo inaspace kubwa sana ndani .... Kuliko hata IST .......Bora funcargo kuliko port au sienta even vitz ...Mimi binafsi Nina Funcargo naipenda sana ... Pia itambuliwe kila mtu ana intrest yake hata ukimiliki Hammer inachangamto zake so kisikutishe kitu...
Hamjambo wanajamii !!
Leo nimetumiwa msg hii baada ya kuapply nafasi ya customer care kwenye kampuni ya uongo inayojiita
QUALITY FIRM kupitia mtandao wa Zoom Ajira siku mbili zilizopita ..
Nikawajibu ofisi zao zipo wapi ili nionane nae nimpatie ... (trap) ili nimuone atajibu nn... kimya...
Onesheni mapenzi mubashara kila siku jamani.. sio valentines day tu basi leo guest zoteee na hotel full ...na bora imekuwa siku ya kazi japo najua mmeshaweka booking kama nawaona hiviii afe kipa afe beki ...
HAPPY VALENTINES DAY EVERBODY..NAWAPENDA WOOTE
Wote nimewaelewa ..ila nimeomba ufafanuzi kujua juu ya kifaa hicho kama kinarelate na ile chapa iliyoandikwa kwenye biblia na msaafu ,ya anti christ yaani 666 nimeona barcode 666 na kinawekwa mkononi au katika paji la uso....IS IT TRUE NI MAMBO YA NEW WORLD ORDER ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.