MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,882
Kipi kina trend huko kwenye UDAKU na mimi nianze kufuatilia?
Anaelewa,anajaribu kukubaliana na hali muda mwingine.Ila naona kabisa we don't have a long way to go,it's going to end soon or later.na mbaya zaidi sina LA kufanyaKwahiyo haupo kwenye relationship Muxar?
It's going to end well sooner or later, Muxar.Anaelewa,anajaribu kukubaliana na hali muda mwingine.Ila naona kabisa we don't have a long way to go,it's going to end soon or later.na mbaya zaidi sina LA kufanya
huu ugonjwa ni wa wengi sanaaa kuchelewa kulala na kutakiwa kuamka mapema ila ndo hivyo sasa tumeshaharibu mfumo wa maisha yetuNajua ni vibaya kulala muda masaa ya kuamka (late night)..ila nimeshindwa kuacha!
umepungukiwa na madini ya chuma na madini ya calcium pole sanaBiting my fingernails and picking the skin around my nails.
Sometimes they bleed. It hurts and I cant stop.
Hii nayo ni sababu pia?umepungukiwa na madini ya chuma na madini ya calcium pole sana
Ndio ni sababu japo kuwa idle bila kazi inaweza kufanya kuwa kama ugonjwa hivi kupenda kula kucha ni muhimu kupambana na hali hiyo maana inapunguza ujasiri wa kuwa mbele ya hadhira.
The kind of shits i can't stop View attachment 1349152
I can relate...Nikiwa nyumbani naweza amka hata saa 3/4 nakua mzembe mzembe ila ikifika saa 10 nitafua,nitamwagilia bustani na kazi nyingine kibao yani nakua full chargeSleeping late waking up late...i guess m kind of an evening person..nakua very active jioni kuliko asubuhi
Hahaha me toooI can relate...Nikiwa nyumbani naweza amka hata saa 3/4 nakua mzembe mzembe ila ikifika saa 10 nitafua,nitamwagilia bustani na kazi nyingine kibao yani nakua full charge
Kazini pia asubuhi nakua nipo nipo tu ila kuanzia saa 7 nakua na concentration ya hali ya juu na umakini hadi natamani siku isiishe...
Sent using Jamii Forums mobile app
I WISH TO TRY IT FOR SURE, its my fantasyIt is all about "perception"!!! - "Bad or Good" could mean different thing to different people"...
I personally treat "threesome" as good thing but to some people it is not only bad, but it is a SIN!!!