miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
La chumvi hayaHapo hapo.... Usigeuke nyuma usije ukageuka jiwe.
La chumvi hayaHapo hapo.... Usigeuke nyuma usije ukageuka jiwe.
Kama mwanaume also be romantic basi sio unaleta usela usela wa kipuuzi be a gentleman, slow music kwa mbali it real work..kauli nzuri pia am ur gal not a prostitute so treat me right . Wanaume wengine wana kauli kavu zenye kuboa. Kabla hamjaanza shoo tayari ameshakutibua na kauli zake kavu.
dah nimecheka mkuu Mungu anakuona!!!hhahahahhahakumbe huwa wanalia mi najua basi ringing tone tu
Jasnira we ni fire i saluteKikubwa ni kupendana kama mnapendana basi miili yenu inakuwa na connection kubwa kama sumaku. So fall in love na mtu sahihi sio ku fake mapenzi. Wanawake wa mjini wanapenda pesa kitu ambacho kinamtoa akili yake wakati wa tendo maana anawaza shughuli imalizike apewe pesa. Lazima huwezi kusikia utamu tuliza akili uone utamuu utakao pewa. Kikubwa kuwa na mtu chaguo lako na mtu sahihi na mwanamke ukimpenda mwanaume hana haja ya kukuandaa sana. Maana ukimuona tu au akikugusa tu unajikuta tayari umeshalowa. Mwili wa mwanamke umejaa hisia so cheza na saikolojia yake mpe maneno mazuri, spoil her na mfanye ajisikie ni mtu special. Mkiwa kwenye gari jaribu kucheza nae michezo midogo midogo, akiwa anapika msogelee mkumbatie kwa nyuma, mkienda kuoga ogeni wote na mara nyingine mshtukize kwa kumng"ata hata tak" au maziwa mkiwa ndani wenyewe. Hii inasaidia kumuandaa kisaikolojia. Tatizo linakuja mnakutana wote hamna mapenzi mwanaume anawaza ngono mwanamke anawaza pesa. Hata mahaba hakuna kati yenu kwa hali hiyo mtaendelea kusikia mapenzi kwa wenzenu tu.
cio kwa mapoint hya kwa kweli HISIA!!ukimaliza!!Ahahahhahaaaaa nimeipenda hii kila mtu anawaza yake jjaman hata kukutana haileti hisia kweli mapenz watayasikia kwa jirani tuuLabda unakutana na wanawake wa hovyo hovyo hawajui kujiweka usafi lakini ukikutana na mwanamke kamili mbona mwenyewe utalamba unyayo na kunyonya vidole vya miguu...
kabisa tena hapo naweza kukudanganya nimepee mara tano kumbe nawaza nakutoaje mpunga
Dah! Sipigi mzigo tena. Nishasanifiwa mnoyani atajiona yeye ndiyo mwenyewe halafu unamdanganya unajua sijawahi kuenjoy kama navyo enjoy kwako kumbe namsanifu tu
Wanadhania mapenzi ni ujanja ujanja wasifanye masihara na hisia u cant fake it... Hisia ni kitu kikubwa sana mnapokuwa mmependana kweli hisia zinakuja automatically. Lakini kidume anawaza ngono na kijike kinawaza pesa tu. Yaani kila mtu anawaza yake katu hamuwezi kuenjoy sababu hakuna chemistry baina yenu badala ya kufanya mapenzi mnajikuta mnafanya biashara. Mapenzi bila Mahaba ni kazi bure.Ahahahhahaaaaa nimeipenda hii kila mtu anawaza yake jjaman hata kukutana haileti hisia kweli mapenz watayasikia kwa jirani tuu
Ha ha ila wachacheMiss Chagga unaniachaga hoi. Mwanamme anayejua mambo anajua kabisa kuwa hujamwaga hata tone
Acha tuDah! Sipigi mzigo tena. Nishasanifiwa mno
Mimi bado naitumia.... Die hard.Brother hiyo methali ishafutwa,,,
Acha Roho ngumu,,,,,
That's true for beginners..... Kadri mnavyoishi mapenzi yanabadilika... Kutoka kwenye physical attraction and mingling to more psychological approach. Kwa mfano mwanamke aliepevuka atapima mapenzi kwa kuangalia kiasi gani unamheshimu, unamsikiliza,unajali ndugu zake, na mambo kama hayo..... Mwanamme atapendwa kwa vigezo kama hivyo.Kikubwa ni kupendana kama mnapendana basi miili yenu inakuwa na connection kubwa kama sumaku. So fall in love na mtu sahihi sio ku fake mapenzi. Wanawake wa mjini wanapenda pesa kitu ambacho kinamtoa akili yake wakati wa tendo maana anawaza shughuli imalizike apewe pesa. Lazima huwezi kusikia utamu tuliza akili uone utamuu utakao pewa. Kikubwa kuwa na mtu chaguo lako na mtu sahihi na mwanamke ukimpenda mwanaume hana haja ya kukuandaa sana. Maana ukimuona tu au akikugusa tu unajikuta tayari umeshalowa. Mwili wa mwanamke umejaa hisia so cheza na saikolojia yake mpe maneno mazuri, spoil her na mfanye ajisikie ni mtu special. Mkiwa kwenye gari jaribu kucheza nae michezo midogo midogo, akiwa anapika msogelee mkumbatie kwa nyuma, mkienda kuoga ogeni wote na mara nyingine mshtukize kwa kumng"ata hata tak" au maziwa mkiwa ndani wenyewe. Hii inasaidia kumuandaa kisaikolojia. Tatizo linakuja mnakutana wote hamna mapenzi mwanaume anawaza ngono mwanamke anawaza pesa. Hata mahaba hakuna kati yenu kwa hali hiyo mtaendelea kusikia mapenzi kwa wenzenu tu.
Kuvuja kwa pakacha... ....Acha tu
Nafuu kwa mchukuziKuvuja kwa pakacha... ....
Asikudanganye mtu hakuna roho kongwe... Ni aina ya mapenzi yenu mtakavyo amua kupendana. Umeona ya michelle na Obama??.. Tatizo linaanza hapo mnapoanza kujifanya mmezoena sana kiasi kwamba yale mlikuwa mnafanya zamani mnaacha. Siku hizi sio ajabu kukuta wapenzi wamekaa pamoja lakini kila mtu yuko busy na simu yake whatsApp.. Hivi kuna raha zaidi ya kuwa karibu na umpendae??.. Trust me ni mapenzi yenu kuamua mnayaendesha vipi?..That's true for beginners..... Kadri mnavyoishi mapenzi yanabadilika... Kutoka kwenye physical attraction and mingling to more psychological approach. Kwa mfano mwanamke aliepevuka atapima mapenzi kwa kuangalia kiasi gani unamheshimu, unamsikiliza,unajali ndugu zake, na mambo kama hayo..... Mwanamme atapendwa kwa vigezo kama hivyo.
Ha ha ha ha haNafuu kwa mchukuzi
***** nimegonga like nimechoka.ha haha mkuu basi unamatatizo .. baby leo your an animal ha hahaha