Kamata Mwizi: Utapeli katika Ajira

shamylove

Member
Oct 4, 2016
35
44
Hamjambo wanajamii !!
Leo nimetumiwa msg hii baada ya kuapply nafasi ya customer care kwenye kampuni ya uongo inayojiita
QUALITY FIRM kupitia mtandao wa Zoom Ajira siku mbili zilizopita ..
Nikawajibu ofisi zao zipo wapi ili nionane nae nimpatie ... (trap) ili nimuone atajibu nn... kimya
nikipiga simu inaita tu ..mwisho wa siku wamezima...
Duhh kweli mjini Mshule jiulize wangapi wametapiliwa kwa njia hii ?
We need to do something abt this...Tunarudishana nyuma sana.
Tuwe makini sana.
MSG NI HII NIMETUMIWA ....
NAMBA ZAO NI
0678 412197
Helo, am Mr. George from QUALITY FIRM tupo kwenye kikao cha dharura tunapitia CV za kuinterview for CUSTOMER CARE(EXECUTIVE) post, cv yako nzuri ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 800,000(take home). 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 jioni uwe umetuma sh. elfu 25 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia simu nikitoka kikaoni.
 
Hivi ni kwamba huu ujumbe ulio kila kurasa wa Zoom ni kwamba hamuuoni au issue ni nini?
zoom.JPG
 
zoom kazi zingine zinakuwa za kitapeli,japo wengine wanaweka za kweli,tuwe macho wadau huyo tapeli inaonyesha ni tabia yake one day tutampata mmoja wa mfano,
 
Hamjambo wanajamii !!
Leo nimetumiwa msg hii baada ya kuapply nafasi ya customer care kwenye kampuni ya uongo inayojiita
QUALITY FIRM kupitia mtandao wa Zoom Ajira siku mbili zilizopita ..
Nikawajibu ofisi zao zipo wapi ili nionane nae nimpatie ... (trap) ili nimuone atajibu nn... kimya
nikipiga simu inaita tu ..mwisho wa siku wamezima...
Duhh kweli mjini Mshule jiulize wangapi wametapiliwa kwa njia hii ?
We need to do something abt this...Tunarudishana nyuma sana.
Tuwe makini sana.
MSG NI HII NIMETUMIWA ....
NAMBA ZAO NI
0678 412197
Helo, am Mr. George from QUALITY FIRM tupo kwenye kikao cha dharura tunapitia CV za kuinterview for CUSTOMER CARE(EXECUTIVE) post, cv yako nzuri ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 800,000(take home). 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 jioni uwe umetuma sh. elfu 25 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia simu nikitoka kikaoni.
Mi nimeambiwa take home 900, 000 same post na nitume elf 20 sio 25 kama wewe, nikamjibu utasubiri sana. Na kuna kipindi huyu mtu alitengeneza kampuni feki akaiita Cindrex kama sikosei. Ni mwizi aliekubuhu ila kashashtukiwa
 
kuna mdogo angu alitumiwa hii


Dear Applicant,


I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT TEAM has received, reviewed and thoroughly discussed your credentials and has fianlly made a final decision of calling you for a face to face interview.


BRIEF INTRODUCTION TO ROKALT CONSULTANTS CO. LTD.


We are A General Consultancy firm with superb experience and expertise in almost all areas of consultancy with A base in Dar es Tanzania - ( OUR OFFICE IS CURRENTLY LOCATED DIRECTLY OPPOSITE GM ELEGANCE HOTEL - UBUNGO DAR ES SALAAM ( 1. 4 km from Tabata )


We conduct numerous operations in Tanzania and East Africa as a whole and in deed enjoy a very huge and healthy client database.


Our esteemed and outstanding services have given us a chance to comand and enjoy an extra-0rdinary bigger market share in the consultancy field since our inception in May, 2011! We simply embrace and cherish excellent services with dilligence.


ABOUT THESE POSTS AND THE EMPLOYMENT ARRANGEMENT:


We are recruiting ON BEHALF OF A CLIENT; this means that you will meet OUR CLIENTS ( who in this case will be your employer ) ON THE INTERVIEW DATE RIGHT IN THE INTERVIEW PANNEL ON 04/03/2017.


This is a well organised pool of professionals where networking and full intellectual interactions are highly cherished; PLEASE MAKE GOOD USE OF THE DAY!!


Successful candidates will be informed on the spot and all the allocation discussions and arrangements will be taken care of by the Employer.


INTERVIEW DATE : All interviews will be conducted in the first weekend of March, the SATURDAY, 4th.. Of March, 2017 ( 04/03/2017 )



CONTACT NUMBERS : +255 743 997 032 / +255 764 828 297 ( USE THESE NUMBERS AND TALK TO EITHER MR. KEVIN LEONARD OR MR. ARON JAMES IN CASE OF ANY FURTHUR CLARIFICATION ABOUT THESE POSITIONS )



VENUES:


1. HOLIDAY INN HOTEL- POSTA- DAR ES SALAAM REGION


2. MOROGORO HOTEL-MOROGORO REGION


3. PARKVIEW HOTEL-MOSHI -KILIMANJARO REGION


4. MBEYA HOTEL-MBEYA REGION


5.TANGA BEACH RESORT-TANGA REGION


6. IRINGA HOTEL-IRINGA REGION


7.TILAPIA HOTEL -MWANZA CITY


8.VETA HOTEL- DODOMA


9. KARENA HOTEL - SHINYANGA TOWN


10. CCM MKOANI - ( CCM REGIONAL OFFICE SINGIDA )


11. CCM MOOANI - ( CCM REGIONAL OFFICE-MTWARA )


12. IMPALA HOTEL - ARUSHA TOWN



TIME:

All interviews will be conducted from 09:00 A.M to 4:00 P.M .


INTERVIEW SESSIONS:


1. Written interview - 1st. Session

2. Oral Interview - 2nd. Session

3.Verification of all the Certificates 3rd. Session


REQUIREMENTS:


1. All Original Certificates / Testimonials

2. Those with copies of the Original Certificates MUST LEGALLY VERIFY THEM. ( only genuine cases will be considered )

3. Those with Transcripts MUST COME WITH STAMPED ONES FROM THE RESPECTIVE INSTITUTIONS


REGISTRATION CRITERIA:


-ALL SHORTLISTED APPLICANTS ARE REQUIRED TO REGISTER WITH TSHS. 20,000/= ONLY -


-This amount of money should be sent to either,


MPESA ACCOUNT NO. +255 743 997 032 ( MR. KEVIN LEONARD ) BEFORE OR ON TUESDAY, 21/02/2017 BY 7:00 P.M.


OR


MPESA ACCOUNT NO. +255 764 828 297 ( MR. ARON JAMES ) BEFORE OR ON TUESDAY, 21/02/2017 BY 7:00 P.M


FAILURE TO REGISTER WITHIN THE TIME FRAME GIVEN WILL AUTOMATICALLY MEAN THAT YOU ARE DISQUALIFIED!!


NOTE:

This amount of money will cover the following;


1. Consultation fees for the whole Employement and Job-Search process

2. Breakfast to all interviewees

3. Interview allowances for all our INTERVIEWERS/ SPECIALISTS who will be spread across all REGIONS

3. We DO NOT ASK FOR ANY DEDUCTIONS FROM YOUR SALARY ONCE YOU GET EMPLOYED UNLIKE OTHER JOB-SEARCH COMPANIES and that is why we are well connected with International NGOs, COMPANIES, INSTITUTIONS all over EAST, CENTRAL, SOUTHERN AND WESTERN AFRICA!!

4. Stationery ( pens, foolscaps, clipboards plus venue charges ).


NOTE: PLEASE COME FOR THE INTERVIEW WITH THE MPESA TRANSACTION TEXT FOR VERIFICATION!
 
Hamjambo wanajamii !!
Leo nimetumiwa msg hii baada ya kuapply nafasi ya customer care kwenye kampuni ya uongo inayojiita
QUALITY FIRM kupitia mtandao wa Zoom Ajira siku mbili zilizopita ..
Nikawajibu ofisi zao zipo wapi ili nionane nae nimpatie ... (trap) ili nimuone atajibu nn... kimya
nikipiga simu inaita tu ..mwisho wa siku wamezima...
Duhh kweli mjini Mshule jiulize wangapi wametapiliwa kwa njia hii ?
We need to do something abt this...Tunarudishana nyuma sana.
Tuwe makini sana.
MSG NI HII NIMETUMIWA ....
NAMBA ZAO NI
0678 412197
Helo, am Mr. George from QUALITY FIRM tupo kwenye kikao cha dharura tunapitia CV za kuinterview for CUSTOMER CARE(EXECUTIVE) post, cv yako nzuri ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 800,000(take home). 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 jioni uwe umetuma sh. elfu 25 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia simu nikitoka kikaoni.
Mi alinitumia Kama week moja iliopita.

Helo, am Mr. George from HFSA LTD tupo kwenye kikao tunapitia CV za kuinterview for ACCOUNTANT post, cv yako nzuri ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 1,200,000(take home). 1st salary utanipa laki 3 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 jioni uwe umetuma sh. elfu 20 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia simu nikitoka kikaoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom