Huna adabu wewe
tupo woteeMie huwa naona mwanamke kabeba mtoto wamekaa. Nilidhan nipo peke yangu.
Huko unakoelekea utasema umevuta harufu kabisa ya nguna!Mm huwa naona kama mtu anapika ugali
Acha kuvuta kilev pendwaMi wakati mwingine hao mnaowaona, nawaona wanatembea kabisa na saa nyingine hata singeli ya manfongo ikipigwa nao wanacheza kabisa
Utotoni tuliaminishwa eti yule no mwanamke amebeba mtoto Na mzigo wa kuni kichwani aligañdishwa mwexini kwakua alifanya kazi hyo siku ya sabatoLakimi mkuu mbona hiyo picha sio mimi tuu nimeiona kila umaemuuliza anakujibu jibu sawa na mwingine hilo hilo
Duu.U
Utotoni tuliaminishwa eti yule no mwanamke amebeba mtoto Na mzigo wa kuni kichwani aligañdishwa mwexini kwakua alifanya kazi hyo siku ya sabato
He he heUnaweza kuta ndo bustani ya edeni hyo ujue eti..!! Full mapalachichi na matikiti maji
Mi wakati mwingine hao mnaowaona, nawaona wanatembea kabisa na saa nyingine hata singeli ya manfongo ikipigwa nao wanacheza kabisa
You see what you imagine - unaona unacho fikiria akilini kuwa unakiona. hakuna kitu huko ni majabali makavu tu