Tuweni makini sana hasa kipindi hiki.juzi tu wameingia klabuni leo wanataka kuambatana na timu wao timu yao inacheza ligi mapenzi hayo yametoka wapi muda huu?
Jamani wana Yanga imekuaje tena Muro mnakubali kuambatana na Simba ZIMBABWE wakati tunajua hawa wanatafuta kutushusha kwenye ligi na kusajili wachezaji wetu? Hamuoni wanatafuta jinsi ya kuwakaribu na timu yetu ili wapenye kwa wachezaji? Kuweni makini na hili.
Hivi hao wachezaji wamesajiliwa jumapili? Na kama walisajiliwa zamani kwanini hatukusema haya? Kwanini hatukusema haya wakati tunashinda? Tuangalie maslahi mapana ya timu: 1: Kombe la Shirikisho 2: Ubingwa ligi ya Tanzania. Ligi ikiisha tutajadilia haya kwakua kuna muda wa usajili. Sasa hivi...
Chuji ni moja wa viungo bora kabisa Tanzania kwasasa kusema kweli na hata katika mchezo wa juzi kati ya Yanga na Al-Ahly alicheza mchezo mzuri sana.KILA LA KHERI CHUJI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.