popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 371
Kwa kawaida upinzan katika mpira hususani simba na Yanga ni mkubwa sana .....lakini jambo ambalo Jerry Muro alimtuhumu mjumbe wa simba sports club kuingia kinyemela katika jengo la Yanga ni uhalifu mkuu....alichokifanya jerry muro ni kujihami kitu ambacho kwa yyte mwenye akili timamu anaelewa uhasama uliopo kati ya simba na yanga ataelea na pia Jerry muro anatambua kua ni hakika UCHAWI UPO.........<<<<UCHAWI UPO NA WATU WANALOGWA KWELI>>>>>>
Kama hutataka kuniamini ni kwa kuwa unaushabiki mno....lakini hebu tuongee fact <<<<UCHAWI KATIKA MPIRA UPO.>>>> Kwa wale mashabiki wa Yanga nyie mtanielewa vizuri kwa sababu mtakumbuka kilicho wapata msimu wa jana katika ligi kuu ya vodacom-Tanzania kule mkwakwani Tanga ile mechi ya mwisho mliocheza na mgambo...mechi ambayo iliwapa Azamu ushindi.......
JERRY MURO KAMA MSEMAJI WA YANGA YUPO SAWA KWA KUMSHUKU HUYO MJUMBE WA SIMBA KUWA ALIKUJA KULOGA........KAMA SIVYO WW UNAESOMA HII COMMENT JIULIZE ALIFUATA NINI JANGWANI?
Kama hutataka kuniamini ni kwa kuwa unaushabiki mno....lakini hebu tuongee fact <<<<UCHAWI KATIKA MPIRA UPO.>>>> Kwa wale mashabiki wa Yanga nyie mtanielewa vizuri kwa sababu mtakumbuka kilicho wapata msimu wa jana katika ligi kuu ya vodacom-Tanzania kule mkwakwani Tanga ile mechi ya mwisho mliocheza na mgambo...mechi ambayo iliwapa Azamu ushindi.......
JERRY MURO KAMA MSEMAJI WA YANGA YUPO SAWA KWA KUMSHUKU HUYO MJUMBE WA SIMBA KUWA ALIKUJA KULOGA........KAMA SIVYO WW UNAESOMA HII COMMENT JIULIZE ALIFUATA NINI JANGWANI?