Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Kiungo wa kutumainiwa wa Yanga na Taifa Stars anatarajiwa kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa kwenye kilabu cha Galatasalay cha Uturuki mara baada ya ligi kuisha.
Chuji kama atafanikiwa ataungana na wachezaji nyota kama Nonda Shabani na Milan Baros, kila la kheri chuji na inatia faraja kuona sasa wachezaji wetu wanaanza kupata mianya ya kucheza ULAYA.
Chuji kama atafanikiwa ataungana na wachezaji nyota kama Nonda Shabani na Milan Baros, kila la kheri chuji na inatia faraja kuona sasa wachezaji wetu wanaanza kupata mianya ya kucheza ULAYA.