Kile kikao kilichoombwa na CHADEMA kukaa na JK kuzungumza kuhusu katiba mpya hatimaye leo kitafanyika.
Habari zinaendelea kudadavua kuwa kikao hicho kitahusisha ujumbe wa CHADEMA na JK na forum yake huku vyama vingine vya siasa kutokuwepo tofauti na ilivyopendekezwa na NEC ya CCM ambayo inaongozwa na JK.
Jamani pindi kikao kikianza kwa yeyote atakayepata kinachoendelea kikaoni atujuze. Naomba kuwasilisha.
:spy:
Source; Mwananchi newspaper
Habari zinaendelea kudadavua kuwa kikao hicho kitahusisha ujumbe wa CHADEMA na JK na forum yake huku vyama vingine vya siasa kutokuwepo tofauti na ilivyopendekezwa na NEC ya CCM ambayo inaongozwa na JK.
Jamani pindi kikao kikianza kwa yeyote atakayepata kinachoendelea kikaoni atujuze. Naomba kuwasilisha.
:spy:
Source; Mwananchi newspaper