Sawa mzee wa talent id[emoji23][emoji23] huna baya..unajua vipaji vyote ulaya... mchambuzi makini.... formation zote unazijua sky sports tu hawajakuona
Kwan we huoni wan bisaka ka improve sana regardless hajafikia kiwango bora sana lakn pia ni kutokana na performance ya timu...au ww saiv dalot na bisaka upande ule bora yupi acheze kati yao?
Target gan hazieleweki angalia taget za kocha
Nunez
Gapko
De jong
Tobido
Ambrabat
Alafu angalia baada ya kuwakosa inabidi atafute solution za muda mfupi zima moto kina wehghost
Apo kuna wachezaji tunanashindwa kuwa sajili sababu ya kuanza kubargain mfano n Nunez na hyo gapko
Hata sajili...
Ww kwan hao wachezaji unaosema ww n wazima wamekuja mkocha wangapi na performance yao ili badilika? Sasa unamtupiaje lawama kocha...apo sajili zifanyike hata saba mafuta yatajitenga na maji tu
Wazo n zuri lakn cha muhimu location ya biashara na target ya wateja wako ni wap
Kwenye mchanganuo wako
Gharama kuna vitu havina uhalisia
Game dk 10 n 500k
Luku per day 3000x30=90000
Kingine kama ww sio msimamizi wa biashara hii n ngumu sana kuona faida yake
Kaka tuanze kwanza na mapungufu ya mchezaji mmoja mmoja de gea ni mbovu sana huna cha kumtetea juu ya performance yake tena hata izo unazosema anaokoa mara nyingi unakuta makosa ni yake...kuna namna ww unaangalia mpira kwa angle isiyo sawa
Kama hauoni tatizo upo nyuma sana kuhusu mpira umebadilika sana...ww huoni de gea ameshinda golden gloves lakn anaongelewa kama kipa mbovu...hujiulizi kwann anaongelewa na kocha ameshatoa kauli tata kuhusu nafasi yake
Mmh hatuwezi kusajili beki wa kati wawili na wakati huo huo tunasajili kipa nafikir wataangalia sehem muhimu zaid...alafu saiv Manchester imebadilika sana kulinganisha na misimu ya nyuma kwenye soko la usajili hatuna tetesi nyingi kama ilivyokuwa awalii..hizi tetes za mount huenda ni za kuongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.