Ni ngumu ila inawezekana kabisa, ni A zote kwa mitiani yote utakayokutana nayo shuleni hapo, katika kusoma kwangu nishawahi kukutana na jamaa mmoja aliyepata GPA ya5 katika chuo cha Ardhi ila ilikuwa Masters na sio Bachelor
Akapime hormones kama anaweza kuzaa akate ya kiume kama anaweza zalisha afunge ya kike, kama yupo strong psychologically aishi hivyohivyo wanawake ni viumbe dhaifu sana atafute mmoja atakaye mpenda hayo mambo yanaongeleka vizuri tu hasa kwa wasomi
Wote ni punda na wana uhusiano ki asilia ila mmoja ni bora zaidi akiwa nyumbani na huyu mwingine licha ya uzuri na mvuto wake yatupasa tu abaki porini aendelee kuliwa na simba, fisi mamba nk
Kama ni nyumba ya kuishi tu na sio hoteli au nyumba ya biashara basi hati yake itakuwa ni batili sababu sheria ya ardhi hairuhusu mgeni kumiliki ardhi kama sio kwa lengo la kuwekeza, na kama ni vinginevyo basi watoto wake watapaswa kuandika barua yenye sababu za kukataa urithi kabla ya mwezi ili...
Tatizo vijana wengi huwa hamjiamini sasa wewe unaingia darasani vipindi vyote, test unafanya, assignments hukosi, hauna hata barua moja ya utovu wa nidhamu kwa Dean shule au Department, hujawahi kuwa na tatizo lolote lile academically au socially
Yani kwa hivyo kukushika tu alitakiwa ajutie...
Ramani inavutia kwa macho lakini ki uhalisia pia kiuchumi ni mbovu sana,
1.kuna haja gani ya kuweka ukuta na mtango dinning room?
2.kuna haja gani ya huo mlango katikati ya korido yani kazi yake ni nini hapo,
3.hiyo store mlango wake uwekwe jikoni iwe kitchen store,
4.pia kuna umuhimu wa...
Hizo media za Mazayuni huwa zinapenyeza habari nyingi za uongo na uzushi na mara nyingi huwa zinakuwa just for laughs kama kile kipindi cha radio asubh kinachotoa habari za uongo ili kuchekesha tu(nyepesi nyepesi)
Ila sasa blogger uchwara ikishapita huko mitandaoni ni copy na paste tu bila...
Kwa ufaulu huo anasoma shule yoyote ile aitakayo Tanzania, hata kwa CBM/G then badae arudi PCM. Nakumbuka mwaka 2013 kisimiri na Ilboru walipokea hadi 2.18 sasa 1.8 akose sio kweli
Ni utaratibu katika mfumo wa maandishi tunaoutumia "roman or latin scripts" kwanza unatakiwa ujue ushawishi au mchango mkubwa uliotolewa na kanisa la Roma juu ya kusambaa kwa huu mfumo wa maandishi unayotumia
Ukijua hilo utafahamu kuwa waliweka au ongeza vitu ambavyo waliona ni vema au...
Kuhusu swala la jeshi la soviet russia kupigana front line hilo ni uongo, wao walikuwa wanaleta wataalamu wa vita (technical advisors) kidogo na marubani katika strategic positions tu
Ndio maana katika wanajeshi 11k angola 54 tu ndio walipoteza maisha na wote sio katika direct kombati bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.