Ungejieleza vizuri sikio linanguruma vipi, binafsi nishawahi kupata tatizo kama hilo sema mimi nilikuwa nasikia "siiiiiiiiiiiiiiiiiiii" endelevu na isiokuwa namwisho, mchana unaisikia kwa mbali ila ikifika usiku au ukiwa mahali tulivu basi sauti inakuwa kali zaidi
Haina dawa ila unatakiwa...
Kichwa cha habari na habari yenyewe ni mbingu na ardhi, kwanini usingetafuta kichwa kinachoendana na hayo maelezo uloandika hapo? Au kila kitu ni kiki?
Katika kilimo cha mpunga kwa sasa Tanzania sio Mbeya na Morogoro tu, mpunga unalimwa karibu kila kanda kuanzia kanda ya ziwa, kaskazini hadi kusini(ruvuma, lindi, mtwara)
Kwa sasa Super Kahama ndio mbegu inayotoa mchele bora (super) kuliko mbegu zote mlozoea Morogoro au Mbeya (Mbawambili...
Basi nyingi route ya Dar-Mbeya ni mbovu 1. ABOOD 2. HAPPY NATION 3. GREEN LINE 4. RUNGWE 5. MAJINJA. Kampuni za kueleweka ni mbili tu katika route hiyo
Ni ngumu ila inawezekana kabisa, ni A zote kwa mitiani yote utakayokutana nayo shuleni hapo, katika kusoma kwangu nishawahi kukutana na jamaa mmoja aliyepata GPA ya5 katika chuo cha Ardhi ila ilikuwa Masters na sio Bachelor
Akapime hormones kama anaweza kuzaa akate ya kiume kama anaweza zalisha afunge ya kike, kama yupo strong psychologically aishi hivyohivyo wanawake ni viumbe dhaifu sana atafute mmoja atakaye mpenda hayo mambo yanaongeleka vizuri tu hasa kwa wasomi
Wote ni punda na wana uhusiano ki asilia ila mmoja ni bora zaidi akiwa nyumbani na huyu mwingine licha ya uzuri na mvuto wake yatupasa tu abaki porini aendelee kuliwa na simba, fisi mamba nk
Kama ni nyumba ya kuishi tu na sio hoteli au nyumba ya biashara basi hati yake itakuwa ni batili sababu sheria ya ardhi hairuhusu mgeni kumiliki ardhi kama sio kwa lengo la kuwekeza, na kama ni vinginevyo basi watoto wake watapaswa kuandika barua yenye sababu za kukataa urithi kabla ya mwezi ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.