Recent content by Shakidinkili

  1. S

    Bila shaka ajenda ya kuomba ongezeko la posho ilikuwa ni ya madiwani wa CHADEMA, je watasusia vikao?

    Jadili kwanza uzalendo wa wabunge wetu ambao wanalamba posho kubwa za vikao mjengoni wakati ndio kazi walioiomba na wanalipwa mshahara mkubwa kwa kufanya kazi hiyo ya kutuwakilisha.
  2. S

    Commentary kuhusu kauli ya Tundu Lissu kwa ushindi wa Kenyatta

    Odinga ni family friend Wa JPM. Mahusiano yao hayamaanishi ni mahusiano au urafiki wa CCM na muungano wa NASA. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Utajiri wa wachungaji Rwakatare, Gwajima, Mwingira na Mzee wa upako na uhalisia wa makanisa yao(Majengo ya kuabudia)

    Ulianza kwa kutotaka malumbano ya kidini lakini mwisho unalinganisha ukristo na uislamu. Wengine tukikujibu ovyo usilalamike. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Wanawake walioolewa huliwa na wapenzi wao wa zamani

    Hata wewe kama umeoa una matatixo
  5. S

    Kwanini nchi moja iwe na Sheria zinazokinzana

    Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania limepitisha sheria yenye adhabu kali ya kifungo hadi miaka 30 kwa mwanaume atakayebainika kujamiana na msichana mwenye umri chini ya miaka 18. Je, sheria hii itafanya kazi kwenye pande zote za muungano? Ninajiuliza hili swali kwa sababu upande mmoja...
  6. S

    CHADEMA kujaribu bahati yao kwenye sakata la Lugumi!

    Nadhani hata wewe una nafasi ya kuitisha mkutano wa hadhara kwa kupitia chama chako nawe ukazungumzia wizi wa mabilioni kupitia Stanbic. Usitake kutumia midomo ya wengine, simama kwa miguu yako.
  7. S

    Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

    Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania limeanza vikao vyake leo asubuhi huko mjengoni Dodoma. Nenda ukajionee madada poa na machangudoa waliohamia Dodoma kwa muda kutoka mikoa mbali mbali na sehemu mbali mbali kwa lengo la kutoa huduma ya mapenzi kwa waheshimiwa. Hili ni tatizo kubwa mno.
  8. S

    Wanaomchafua Dr. Dau magazetini na mtandaoni ni wafamaji, acheni waendelee kutapatapa

    Umeandika maneno mengi yasiyo na maana. Wale wewe unaowaita wazushi, waongo na kadhalika wameweka data zao hadharani, ambazo wewe umesema ni data za uongo. Wewe hizo zako za ukweli ziko wapi tuzione. Tuambie eka moja huko Kigamboni imenunuliwa kwa kiasi gani? Arumeru nako eka moja ni bei gani...
  9. S

    Wengi hawayajui haya

    Makweme.
  10. S

    Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

    ST zote zina maana ya Serikali ya Tanzania. Namba zilianza na ST, namba hizo zilipofikia mwisho ndipo zikaanza STA, vivyo hivyo zilipoisha hizo A zikaendelea B,C,D na mpaka sasa siko STL. Upande wa DFP uko vile vile kuwa ni DONOR FUND PROJECT na ilipofika mwisho ndipo zikaanza A yaani DFPA na...
  11. S

    Jeshi la Polisi Dar limekamata marobota 10 ya vitenge na pampers, mmiliki alikuwa anakwepa ushuru

    Wewe hebu utufafanulie hapa kulingana na uelewa wako. Robota moja linakuwa na vitenge vingapi na bei zake kabla ya kukurupuka kuwa bei haifiki laki mbili.
  12. S

    Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?

    Ninao ndugu zangu ambao walisoma huko hivyo nina uhakika na ninachiokisema.
  13. S

    Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?

    Jambo la msingi ujue kuwa hata shule zilizokuwa zinamilikiwa na Kanisa Katoliki zilitaifishwa. Inabidi utofautishe yafuatayo. 1. Seminari ni shule maalum za kuandaa wasomi watumishi wa Kanisa kama vile Mapadri. masomo yaliyo mengi wanayosoma yanaendana na Theolojia na maadili ya kanisa husika...
  14. S

    Mpenzi wangu anataka niwe namuingilia kinyume na maumbile yake

    Ole wao wafirwa na wafiraji kwa maana kamwe hawatauona ufalme wa Mungu. Laana isiyosameheka.
  15. S

    MCC: Vita kati ya Serikali ya Magufuli na vibaraka (Wadau wa Richmond, Dowans na Symbion)

    Sasa hivi tunashuhudia serikali ya awamu ya tano ikiwafikisha mahakamani baadhi ya waliokuwa viongozi wa kada mbali mbali na mawaziri kwa makosa mbali mbali waliyofanya wakiwa madarakani. Swali langu kwako wewe mleta mada. Kuna ugumu gani ama kuna mpango wowote wa kuwafikisha mahakamani wahusika...
Back
Top Bottom