Recent content by Shadycharlie

  1. Shadycharlie

    Ni kweli Engineers and Technian wa Halotel wanapewa hela kidogo?

    Kwani wapo utumwani si waliomba wenyewe na kwani huo mshahara ni surprise si makubaliano Na mbona hawaachi kazi??
  2. Shadycharlie

    Umegundua nini kwenye picha hii ya mwenge?

    Kweny moto wa mwenge (flame) anaonekana taswira ya ndege amasimama na miguu miwili na mkia wake (anafanana na ndege anaitwa swans)
  3. Shadycharlie

    Hitaji la walimu sio bati

    Kwenye maelezo yako umelaumu kwamba sii chama cha kibiashara ila unatak faida. 2.Unafahamu kazi ya chama cha wafanyakazi na je huko kwingine wanachama wanachangia au hawachangii 3.hizo Tshirt au majengo yanawafaidisha wanachama wa vyama gani vingine vya wafanyakazi. 4.unafahamu kwamba chama cha...
  4. Shadycharlie

    Simba Sport Club: Taarifa kwa umma

    Jamaani naomba msaada kidogo mnijuze kam ni kweli taarif kama hii inatoka kwenye klabu ya ligi kuu
  5. Shadycharlie

    Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

    Let them Go for their Democracy. Siasa ni Ngumu na Longolongo nyingi ila Kwa Bongo imezidi mbona yaonekana kwa macho hata kwa kupapasa waeza kuona wanasiasa ni wanafiki kwa kiasi gani. Haya sisi kazi yetu macho tu kuona yanayojiri siasa imekuwa ni source of income purely kama ilivyo kwa dini...
  6. Shadycharlie

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    Yaleyale ya '' Tulichuma wote yanaanza kujitokeza'' Tanganyika ina eneo kubwa idadi kubwa ya watu na maendeleo katika ardhi yake ni makubwa as compared to other part ya Muungano sasa nionavyo mimi baada ya Zanzibar kuwa huru ninahisi hawataridhika na hali waliyonayo kwa dhana kwamba walinyonywa...
  7. Shadycharlie

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    Kwani mkuu hivi hiyo OIC ina wanachama wangapi? Na toka imeanzishwa imeathiri vipi imani za dini nyingine na je Zanzibar wakijiunga nayo inaiathiri vipi Tanganyika? Hata kama umesema Pengo kardinali hataki wajiunge na OIC yeye kama kiongozi wa Dini anazuia vipi hilo lisitokee na ambalo lipo...
  8. Shadycharlie

    Vituko Vya Clouds Fm,..

    1. Clouds ni wabunifu sana, kuhusu wao kupewa credit na Raisi sio dhambi. Pia sio dhambi akiwasifia kwa kile wakifanyacho, wamejitahidi kutuonesha fursa wananchi watz. Smything that deserves credit. Kuna wachina wanauza karanga hapa kwetu na bado tunalia unaskini, jambo hili limewafanya wabuni...
  9. Shadycharlie

    Ngurumo: Ni kaburi la CCM au CHADEMA?

    Ooh kumbe maneno meengi halafu Id name ni Gamba la Nyoka. Sina haja ya kuongeza neno kwaheri Gamba
  10. Shadycharlie

    Vituko Vya Clouds Fm,..

    chakii acha wivuuu ukiona hata wewe unaizingumzia clouds na unafuatilia details hadi details ujue unaipenda sana, tena tokea moyoni sema una kachembe kawivu. Nakushauri nawe uanzishe media yako halafu itafute sauti ya raisi akisifie halafu uitunze kwenye record zako. CHANGE IS YOU.AND START FROM YOU
  11. Shadycharlie

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Sasa mi naanza kuchoka aisee we jamaa inaonekana tamaa mbele mauti..... kwasababu yule wa kwanza alikuangushia tabasamu ukaahirisha safari mkarudisha funguo ofisini kwake bila hata kumjua jina na lengo lake ka kukwambia umsindikize, baadae tena mmepanda gari jingine umemwona mwingine...
  12. Shadycharlie

    Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

    Number of sample spaces ni idadi ya daladala standard zinazooperate ndani ya majiji tofauti hasa Mbeya, Dar ambapo kama gari hiyo ina redio, favourite kipindi kinachosikika ni hicho Xxl so ikiwa hujapend njoo na researxh yako inayothibitisha kipindi pendwa si vibaya ukileta pia report...
  13. Shadycharlie

    Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

    Kiukweli kile kipindi ni pendwa kila mahali kinasikilizwa at that particular time.Ikiwa hutopenda kiwe pendwa itabidi kiwe your foot. Truth hurts
  14. Shadycharlie

    Sakata la Mwingira kudaiwa kuzaa na mke wa mtu, Rais Kikwete aingilia kati

    Ole wenu ninyi mnaowanyooshea vidole binadamu wenzenu na kuwahukumu. Maana imeandikwa usihukumu nawe usijw ukahukumiwa. Pia kwa wale wanaoona ni wasafi mioyoni mwao wawe wa kwanza kumrushia mawe mzinzi. Kwa leo napita tu
  15. Shadycharlie

    Muhimu: Kulinda ajira za wazawa Tanzania...

    The Boss mi sina neno la kuongeza hapo, yaani kama vile tuandikapo barua ya kuomba kazi au kitu chochote, tunaandika, 'KICHWA CHA HABARI HAPO JUU CHAJIELEZA'. Kila kitu kipo mahali pake ila wanaopaswa kufanyia kazi hawawezi kazi yao hadithi tu. nimependa sana hiko kipengele cha mwisho..... hata...
Back
Top Bottom