Ni kweli Engineers and Technian wa Halotel wanapewa hela kidogo?

Mwana Ukoo

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
252
422
Wakuu Hii kampuni ilianza kwa kasi mno mno, Sina nia ya kuichafua wala kuipaka matope ila wame drop hata siamini kama ndio wale waliokuwa wanatandaza Fiber optical cable, Nimewah hudhulia site zao kadhaa kikazi lakini ilikuwa ni part time kabla ya kuwasha minara yao, Hawa jamaa walionesha njaaa mapema sana mana kati ya makampuni ya mitandao ya simu ni Hio tu ndio niliona Njaa nje nje,

Palikuwa na vietnam njaa kali sana hivo vijamaa na ubishi kibao kiukweli kazi ilikuwa Ngumu, Back to the topic kiuhalisia bandwidth ya Hawa jamaa baadhi ya sehemu imezidiwa Hii inatafasiri, Halotel na Ttcl ni wao tu kama sikosei ndio wanatumia hii technology ya kisasa( Fiber optical cable) kufanya transmission Hivo palipaswa pawe na ufanisi wa juu kabisa mana Base station interconnection sio wireless bali ni wired ambayo ni more efficient,

Kuna Tetesi Kuwa hawa jamaa wanafanya kazi kimazoea kuna mtu aliwah nijuza kuwa mpaka madereva huelekezwa kufanya Technical issue kwa maana ya Minimise costs, Engineer na Technian wa hii kampuni nasikia salary zao ziko chini, nina rafki yangu yeye ni diploma holder amepiga CS (computer science) Hulalamika sana jinsi jamaa wanavyo wa overtime bila malipo ya kuelewaka.

Halotel mbona tuliwaamini sana?
 
Malipo ni makubaliano. Kama walikubaliana maanayake waliridhika na wanacho kipata. Na pengine inetegemea level ya mtu. % kubwa ya makampuni ukiingia kama graduate sahau kuhusu pesa. Yaani wewe ndo utakuwa kiraka wa ofisi. Makampuni mengi watu wenye kipato kizuri ni wale walio tumikia kampuni na kampuni ikajua ni watu wa muhimu. ( vizee Na watu wenye experience)
 
na ww unafanya kazi halotel? issue ya mishahara makubaliano tu!..km wanalalamika/unalalamika zungumza na muajiri wako atakusaidia.Waache kaz wapo wanatamani hata laki na nusu kwa mwez hawaoni
 
na ww unafanya kazi halotel? issue ya mishahara makubaliano tu!..km wanalalamika/unalalamika zungumza na muajiri wako atakusaidia.Waache kaz wapo wanatamani hata laki na nusu kwa mwez hawaoni
Hapana Mkuu mimi sipo halotel
 
Lazima wabongo walipwe pesa kiduchu kwa sababu ni w aafrika.
Haloteli ina wachina kibao wanaoshi pale victoria apartment.
Wale wanalipiwa kila kitu na usafiri juu.
Wanalipwa dola 5,000 na malazi msosi bure.. Sasa kuwalipa hawa lazima uwaminye wabongo na vidigrii vyao kwa sababu sheria za bongo haziwalindi
 
Hawa majamaa ni wanyonyaji sana,ndio maana kila siku hawaishi kuajili
 
Ukitaka kujua mavetee ni noma angalia mapicha ya Rambo haswa ile rambo anadumbukizwa kisima chenye ruba
 
Ni kweli kabisa.

Hii ni kwa makampuni yote yanayomilikiwa na kuendeshwa na wa-Asia.
Sijawahi ona kampuni zinazoendeshwa na hawa watu zikilipa vizuri.
 
Ni kweli kabisa.

Hii ni kwa makampuni yote yanayomilikiwa na kuendeshwa na wa-Asia.
Sijawahi ona kampuni zinazoendeshwa na hawa watu zikilipa vizuri.
Wanafuata sheria ya nchi husika. Unajua kima cha chini cha mshahara kilichopangwa? Tujilaumu sisi na mamlaka zetu husika.
 
Wakuu Hii kampuni ilianza kwa kasi mno mno, Sina nia ya kuichafua wala kuipaka matope ila wame drop hata siamini kama ndio wale waliokuwa wanatandaza Fiber optical cable, Nimewah hudhulia site zao kadhaa kikazi lakini ilikuwa ni part time kabla ya kuwasha minara yao, Hawa jamaa walionesha njaaa mapema sana mana kati ya makampuni ya mitandao ya simu ni Hio tu ndio niliona Njaa nje nje, Palikuwa na vietnam njaa kali sana hivo vijamaa na ubishi kibao kiukweli kazi ilikuwa Ngumu, Back to the topic kiuhalisia bandwidth ya Hawa jamaa baadhi ya sehemu imezidiwa Hii inatafasiri, Halotel na Ttcl ni wao tu kama sikosei ndio wanatumia hii technology ya kisasa( Fiber optical cable) kufanya transmission Hivo palipaswa pawe na ufanisi wa juu kabisa mana Base station interconnection sio wireless bali ni wired ambayo ni more efficient, Kuna Tetesi Kuwa hawa jamaa wanafanya kazi kimazoea kuna mtu aliwah nijuza kuwa mpaka madereva huelekezwa kufanya Technical issue kwa maana ya Minimise costs, Engineer na Technian wa hii kampuni nasikia salary zao ziko chini, nina rafki yangu yeye ni diploma holder amepiga CS (computer science) Hulalamika sana jinsi jamaa wanavyo wa overtime bila malipo ya kuelewaka. Halotel mbona tuliwaamini sana?
Mkuu umeeleza mambo ya msingi, tatizo inawezekana hukufanya uchunguzi wa kina au source credibility ndio ilikuwa shida.
 
Back
Top Bottom