Wandugu, kabla ya kuanza kulaumu kwanza jaribuni kuangalia kwa undani, na muangalie na upande wa pili na maswali haya mjiulize? Inawezekana ni wale........wanaochonganisha nchi au watu, ili muanze kujenga chuki na wanaanza kwa mbali kama walivyowawekea vyama vingi, ili wao waje wajidai...
Babu DC!
Hivi itokee nini mpaka uamini?....sasa nakupa ya kwangu binafsi kabisa......mimi nimemkuta mume wangu na kondom zaidi ya mara tano kwenye gari, na nimemsamehe. Nimefuma hizo msg wadada wanamsifia kwa ku wa du.......vizuri na wala sijathubutu kumwambia, yaani hanijali hata kidogo, yeye...
Sasa....watu wengine bwaaaaaaaa....aliposema hujaamini na je ukiona ndio utamini?.......mh....mashaka matupu......best nakutakia kazi njema mafanikio mema katika utakalolifanya maadam unatumia akili, ubunifu na kujituma kwa bidii ni jinsi gani uyakabili haya maisha.... Kwa mwenyekuhitaji na...
Lolololo......... Kazi ipo .......he ndoa za kulala na mume masaa 5, nayo ndoa? Kujua kumpangia kbtini 2, .... Masaa mengine yote kwa,...........na mpaka itokee aumwe........lo kazi mnayo wenye ndoa..
Wamezidi hao............ Bora maana wanafanya kila sehemu mahali pa siasa bora wa pambane na mapapa wenzao wale kambare wadogo walikuwa wanawaonea tuuuuuu na hasa kupitia chombo chao bandia tbc....... Eti chombo cha habari cha taifa... Hakuna lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.