Du hii kali !
Ina maana ukiwa na njaa kwa sababu ya kutolipwa mafao yako basi inabidi usubiri kutumwa kudai haki zako?
Jamani msiongee kwa jazba kuhusu huyu ulimboka. Arudi tu kazini. Hii ndio serikali tuloichagua na wakicheza kweli ajira watapoteza, unajua kwa nini sikuhizi tz karibia madaktari 200 wanagraduate... so unafikiri why serikali wanaringa
Sijui nani alikuwa anamtuma huyu jamaa
maana sijui kaishia wapi watu wamarudi kazini
kufanya kazi yeye kapoteza ajira
nipo hapa tmj natibiwa kwa bili kali, kama kweli madaktari wa hosptali za serikalini wameanza kazi tusituane niende
Umeamka nazo.
ulimboka ni dk kweli?
ni Shekhe wa msikiti wa Manyema
madaktari bingwa wamegoma na kuunga mkono juhudi za kina ulimboka.sasa nyie bakieni gizani mkisema sio daktari badala ya kushughulikia hoja za madaktari.
cyo padre anayelawiti watoto?
Sijui nani alikuwa anamtuma huyu jamaa
maana sijui kaishia wapi watu wamarudi kazini
kufanya kazi yeye kapoteza ajira
ulimboka ni dk kweli?
Umeona eeh! Pinda alisema sio dactari na wasimsikilize maana jamaa ni bingwa wa migomo,cha kushangaza hata hao madactari bingwa nao wameingia kwenye mgomo,hapo unaweza kupima kama alichoongea pinda ni sahihi.
ulimboka ni dk kweli?
dada mrembo punguza ukali wa maneno.inaonyesha ndo tabia yako au ushawah kulawitiwa na padre uko cameroon mana mapadre kitanzania hawana hyo tabia!shndwa pepo,una wivu sana degree ya ulimboka!kasome nawe uitwe doctor!
Nikupe cell number yake umuulize?ulimboka ni dk kweli?
ulimboka ni dk kweli?