Recent content by shaburn

  1. S

    Kwa wenye uelewa na maswala ya kiuchumi ,Njooni mnisaidie maswali Yangu machache!

    #3 uadim wa sukar unaosababishwa na uzalishaji mdogo wa viwanda vya ndani na na marufuku iliyowekwa kwenye kuingiza bidhaa hiyo... ni moja ya sababu ya sukar kuwa bei juu kulinganisha na kipindi cha JK
  2. S

    Kwa wenye uelewa na maswala ya kiuchumi ,Njooni mnisaidie maswali Yangu machache!

    #2 Pesa zikichapishwa kwa wingi thaman yake huwa inashuka na kusababisha mfumuko wa bei ambao unamlazimu mnunuzi kubeba mihela mingi kwa ajili ya kununua bidhaa anzozihitaji.
  3. S

    Kwa wenye uelewa na maswala ya kiuchumi ,Njooni mnisaidie maswali Yangu machache!

    #1 kwa uelewa wangu, nadhan ni utaratibu waliojiwekea nchi zinazolisha mafuta kwa wingi kureview bei za uzalishaji kila jumatano ya mwanzo wa mwezi na pia kuangalia mwenendo wa soko la bidhaa husika...
  4. S

    Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

    hizo takwimu umepika aseee
  5. S

    Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

    wew jinga kweli, uwez kutuambia sis ushindwe mwanamke uliyemyongoza mwenyew tena ni mchepuko...
  6. S

    Ushauri: Wazazi hawataki mwanamke abadili dini, wananiita 'kafiri'

    muache akaishi na baba wa kambo basi
  7. S

    Mdogo mdogo dini zitakosa wafuasi

    ni dini isiokuwa na shaka ndani yake...
  8. S

    Je, ni kweli mji wa Mecca upo katikati ya dunia?

    kafir ni neno la kiarabu likimaanisha mtu ambae sio muislam, kwa hiyo yeyote ambae sio muislam ni kafir(aliyekufuru au asiyefuata dini iliyosahihi ya uislaam) yan mfano mtu ambaye hajaoa anaitwa bachela...
Back
Top Bottom