#3 uadim wa sukar unaosababishwa na uzalishaji mdogo wa viwanda vya ndani na na marufuku iliyowekwa kwenye kuingiza bidhaa hiyo... ni moja ya sababu ya sukar kuwa bei juu kulinganisha na kipindi cha JK
#2 Pesa zikichapishwa kwa wingi thaman yake huwa inashuka na kusababisha mfumuko wa bei ambao unamlazimu mnunuzi kubeba mihela mingi kwa ajili ya kununua bidhaa anzozihitaji.
#1 kwa uelewa wangu, nadhan ni utaratibu waliojiwekea nchi zinazolisha mafuta kwa wingi kureview bei za uzalishaji kila jumatano ya mwanzo wa mwezi na pia kuangalia mwenendo wa soko la bidhaa husika...
kafir ni neno la kiarabu likimaanisha mtu ambae sio muislam, kwa hiyo yeyote ambae sio muislam ni kafir(aliyekufuru au asiyefuata dini iliyosahihi ya uislaam) yan mfano mtu ambaye hajaoa anaitwa bachela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.