Unaumwa wewe.. Yani hapo Mmbulu hayupo alafu unaweka Mmeru? Acha ujinga, fanya research kabla hujabandika mada1.warangi
2.wanyaturu
3.wameru
4.wamasai
5.wasukuma
6.wachagga
7.wahaya
8.wanyamwenzi
9.wapare
10.wanyakysa
Huko kuna madame mmoja anamalizikia kwenye jf I'd ya S.....Tanga vipi
Na jirani zao wajaluo....We unawajua wakurya jinsi walivyo wazuri?
Haaaaaa AsanteWanyakyusa.???
You Must Be Mad...
Tena level za kwenda Milembe kabisa..
hawa watani wangu wanyakyusa kila kitu wanacho wao duu.ila usipingane na tafiti kubali tuWanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Wambulu vip, au ni umepika takwimu? Maana hawamu hii wapishi wameongezeka
Wanyantuzu si ni wasukuma wa bariadi? Kwani kuna kabila la wanyantuzu la wapi hilo?hivi wewe unawafahamu wanyantuzu?
Pole sanaWanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi