Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

Tafuta mdada, panga nae ajifanye ndiyo mkeo...ampigie simu hiyo small house, akimwambia amegundua mahusiano yenu, na ampige biti la nguvu....Then mpigie/kutana nae small house mwambie tu bhana wife amegundua..na mwambie msitishe mahusiano.
....Hii mbinu nishaitumia na kuleta mafanikio...
 
Ushalishwa limbwata la maharage dogo, Subiri agundue kuwa unataka kumuacha akuongezee nyingine uwe km zuzu!
 
mwambie ukweli mpe uhuru wa kuwa na mwingine najua ita muwia vigumu sana sana ila mwambie mwambi na kila siku mwambie, na uache mazoea ya kuwa nae mara kwa mara, KISHA NIPE NAMBA YAKE MAANA MIMI NIKO SINGLE MDA MREFU SANA
 
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
Rubbish....!!!!
 
Baada ya kumgegeda binti wa watu ndo unatambua una mke. Wanaume tunaumiza mioyo ya wanawake.
 
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
Kula bang ukishapta ujasir mwambie mana huna ujasir
 
wew jinga kweli, uwez kutuambia sis ushindwe mwanamke uliyemyongoza mwenyew tena ni mchepuko...
 
Mxeeew dharau tu unajijua umeoa kwann umemtongoza dada wa watu ...... mim ndo maana sipigishwi sound na jitu limevaa pete ya ndoa !!!
Na nina shangaaga sasa wadada eti anadate na mme wa mtu daaah.... ladies unaweza pata bwana ako vijana bado wapo wengi
 
Smart Satan preparing your destruction
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
 
Umemtumia weeeee,leo humtaki.Ulivyokuwa nae hukujua unamzibia bahati ya yeye kupata mwenza? Kumung'ang'ania na kushindwa kumuacha,bado unamhitaji ila hujui unalolifanya. Wanasemaga ya kwamba mbwa hutambua umhimu wa mkiya ukisha katika.Sasa na wewe vuruga kote tu,dawa yako inachemshwa pande zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom