Huyo kasema -
"Ndio analeta chakula ndani lakini Mapenzi Penny NI zaidi ya Chakula"......
ex wife wa Mabeste kasema -
"Najua ananipenda na kila siku anasema nakupenda mke wangu lakini nakupenda haileti ugali mezani, nakupenda hailipi ada za watoto"
How to do check and balance kwa hawa viumbe...
JF this is where we dare to talk openly...siwezi kunyamaza hayo ni maoni yangu usiingilie uhuru wangu wa kutoa maoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuwa na fikra chanya kwenye mahusiano yenu... kumuacha sio kutatua tatizo bali ni kulikimbia ni vema ukakaa nae chini kwa upole ukamueleza black n white then mkafikia muafaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.