Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Si ndio huyu huyu Rais aliekua anasifiwa dunia nzima au ???Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Wakwe zangu Wahaya wanasemaga:
"WATI GOZI ARAUNDI OLWEIZI TANZ ARAUNDI"
na shemegi zangu nao wakaongezea kuwa:
"ANI IZE WEI TU GO IZ OLWEIZI A GUDI WAY TU RITANI"
Na mimi nasema kuwa:
... calm down it backfire now !!!
Sent using Jamii Forums mobile app