Ndugu Janjaweed, ninaujua mfumo wa Afya Tanzania in and out na ndio maana nimeandika hii thread.
Kazi yangu ya kwanza nimeanza kufanya na Halmashauri huko ndani ndani Tanzania kwenye Hospitali za Serikali kipindi hicho bwanakunu yupo Red Cross. Nimetoka Halmashauri nikaenda Hospitali za Mkoa. Nimetoka Hospitali ya Mkoa nikaenda Hospitali ya Taifa. Nimetoka Hospitali ya Taifa nikaenda NGo jina kapuni: nimetoka hapo nikahamia kwa Supplier wa hayo unayoyaita Madawa na baadae Kwenda WHO na kuhamishwa nje ya nchi. Kwa sasa nipo Namibia nafanya kazi na WHO.
Kila ngazi niliyoitaja hapo nimefanya kazi na MSD kama mteja wao. kuanzia Halmashauri mpaka hapo. Ninajua changamoto zao zote na ninachokiandika sio majungu ni ukweli tupu. Ninaijua Wizara ya Afya vizuri sana. Ni wizara inayoendeshwa Kiholela kila mtu ni Boss kila mtu mjuaji ndio maana nikasema it needs some 1 strong but also technical.
Ukinipa kazi nifanye pale, hata kwa mshahara wa 50M siendi, kwa hakika kabisa.
Honestly, you have nothing to tell me about health care system in TZ, and there is nothing I can learn from you of the same.
You might say I am much know. Yes I am, and that is true. I am proud of that. And you are very lucky to chatting with me today, just pay attention!
Huu sio uzi wa kuelezea Mahitaji, Ugavi na Usambazaji. Huu ni uzi wa kuusifu uteuzi wa JPM kuhusu Bohari kwa mara ya kwanza katika Historia ya TZ.
I am impressed with your name though; I love Canabis, do you smoke some like me ? Do you get high like me ? Let’s meet and awakening!
Mk54