babawatoto23333
Member
- Apr 15, 2020
- 13
- 11
Jamani na hili joto la Dar,
Eti wanasema nawatamanisha nkitembea kifua wazi.
Kwani ni makosa jamani eti?
Eti wanasema nawatamanisha nkitembea kifua wazi.
Kwani ni makosa jamani eti?
Hujui kusoma mkuu, unajua kuandika tu bloo..Watu wanatembelea miguu wewe unatembea kifua wazi atakae kutamani ni kenge
Na ni kweliHujui kusoma mkuu, unajua kuandika tu bloo..
Watu wanatembelea miguu wewe unatembea kifua wazi atakae kutamani ni kenge
ila watu😂😂😂Watu wanatembelea miguu wewe unatembea kifua wazi atakae kutamani ni kenge
Hahahaha mamaee wallahlabda una chuchu saa sita unawatoa udenda vidume mkuu
Una hatariKwani unaishi wapi? Mpaka wanaona hicho kifua chako wazi? Mimi toka asubuhi nimeshinda na khanga ya kifua nyepesi laini na hakuna aliyeniona.
Sasa fikiria ndo ningekuwa naishi maeneo ya kwako.
Kawaida ukiwa home kujiachia mimi siwezi kujibana aiseeee kikanga changu au mtandio.
Lakini ni vyema kuangalia mazingira kama una familia au umepanga nyumba wengi na kina mama Mwajuma pole sana badili utaratibu uvae hata singlend
Haaahaa! Natamani ungekuwa jirani yanguKwani unaishi wapi? Mpaka wanaona hicho kifua chako wazi? Mimi toka asubuhi nimeshinda na khanga ya kifua nyepesi laini na hakuna aliyeniona.
Sasa fikiria ndo ningekuwa naishi maeneo ya kwako.
Kawaida ukiwa home kujiachia mimi siwezi kujibana aiseeee kikanga changu au mtandio.
Lakini ni vyema kuangalia mazingira kama una familia au umepanga nyumba wengi na kina mama Mwajuma pole sana badili utaratibu uvae hata singlend
Haya maandishi bila picha ni uzushi tuKwani unaishi wapi? Mpaka wanaona hicho kifua chako wazi? Mimi toka asubuhi nimeshinda na khanga ya kifua nyepesi laini na hakuna aliyeniona.
Sasa fikiria ndo ningekuwa naishi maeneo ya kwako.
Kawaida ukiwa home kujiachia mimi siwezi kujibana aiseeee kikanga changu au mtandio.
Lakini ni vyema kuangalia mazingira kama una familia au umepanga nyumba wengi na kina mama Mwajuma pole sana badili utaratibu uvae hata singlend
Yawezekana una Matiti yamejaa makubwa ...?Jamani na ili joto la daa,
Eti wanasema nawatamanisha nkitembea kifua wazi.
Kwani ni makosa jamani eti??
Kwani unaishi wapi? Mpaka wanaona hicho kifua chako wazi? Mimi toka asubuhi nimeshinda na khanga ya kifua nyepesi laini na hakuna aliyeniona.
Sasa fikiria ndo ningekuwa naishi maeneo ya kwako.
Kawaida ukiwa home kujiachia mimi siwezi kujibana aiseeee kikanga changu au mtandio.
Lakini ni vyema kuangalia mazingira kama una familia au umepanga nyumba wengi na kina mama Mwajuma pole sana badili utaratibu uvae hata singlend