Recent content by sergey

  1. sergey

    Madalali wa kwenye mazao ni wauaji na wezi

    Sio Bongo tu kiongozi, Bali dunia nzima madalali wapo ila wenzetu wamepewa majina ya kizungu yaan Broker, Agents. wote hawa wanapiga pesa bila mtaji zaid ya kulijua soko linataka nin. Fikiria Mendez anavyowauza wachezaji Sent using Jamii Forums mobile app
  2. sergey

    Kama Haupo katika mahusiano huu uzi ni kwa ajili yako!

    Kampani nzuri ni ile ya kutoana na si ile kwa upande mmoja tu. Unakuta dem ana kazi ila hata siku moja hajawai kufanya kama kakosea akuunge hata kifurushi cha jero, nguvu ya kumpa tu kila siku itatoka wap?
  3. sergey

    Jinsi ya ku-unlock simu za Voda

    Me siyo fundi, naomba msada
  4. sergey

    Jinsi ya ku-unlock simu za Voda

    Wasalam wandugu! Ningependa kujua kama inawezekana kutatua hili. Simi yangu ni huawei cun l21 hizi za voda kila nikijaribu kubadilisha line namba 1 niweke airtel badala ya voda ambayo naweka line 2, simu inataka niweke unlock pin . Nataka kujua kama inawezekana kupata hizo unlock pin
  5. sergey

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Michael Seri Akitua Emirates Tatzo La Kiungo Mkabaji Kwisha Mana Jamaa Ni Zaid Ya Kante
  6. sergey

    Msaada kuhusu hii kesi ya ardhi

    Shukrani Mkuu Kwa Ushauri Wako Ntaufanyia Kazi
  7. sergey

    Msaada kuhusu hii kesi ya ardhi

    Wasalaam Wandugu, Ningependa Kupata Msaada Wa Kisheria Kwenye Kesi Yangu Ambayo Hukumu Ilisomwa Tarehe 12 Mwezi Wa Tatu Na Kuonyesha Mi Ndo Mshindi Dhid Ya Jiran Yangu Aliyejenga Kwenye Eneo Langu. Cha Kushangaza Siku Ya Kuchukua Hukumu Ikiwa Kwenye Makaratasi Naonekana Mi Ndo Nimeshindwa Na...
  8. sergey

    Kutaka kujiunga na Saccos

    Kaka ingekuwa vizuri ungeweka namba ya uyo meneja wa hyo saccos ili wengi tufaidike
  9. sergey

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Niko morogoro vijijin uku Malinyi mkuu na kama kwel ruby au spinel,je bei zake zipoje
  10. sergey

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Naomba kujua kama kweli hii ni ruby nyekundu
  11. sergey

    Wananchi wa Malinyi wajiunga kwenye vikundi ili kupatiwa mbegu bure

    Mbona sisi wengine tuko hapa hapa malinyi hizi fursa hatuzipati mkuu
  12. sergey

    Rais Magufuli alakiwa Arusha, akiwa ndani ya nguo za Kijeshi

    Uchaguzi umeisha shemeji! Uhuru kenyata wa kenya alivaa mwaka jana kwenye mahafali ya jeshi,Putin wa urusi naye pia anavaa. Yeye ndo Amiri jeshi mkuu.kutovaa ni maamuzi tu ila akiwa anaingia jeshin ni maamuzi yake kuvaa au kutovaa
  13. sergey

    Kampuni za ku-BeT na upangaji wa matokeo

    Yapo yanayopangwa ila cyo yale ya Arsenal,kumbuka hata baba yake ROONEY alikuwa na kesi ya kupanga matokeo, hao wanapangaga kwenye kadi nyekundu kuwepo maana ile kitu unakuta odds ni 4 kwahyo ukiweka mkwanja mnene lazima upige
  14. sergey

    Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

    Hao hao wenye akili ndo wametufikisha hapa tulipo. Ni bora kuanza kuchukua mashabiki tu. Kama wakina Kitilya wanaongeza riba ili waiibie serikali,ni heri kuchukua mashabiki maana wenye AKILI ni WEZI
Back
Top Bottom