sergey
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 217
- 55
Sio Bongo tu kiongozi, Bali dunia nzima madalali wapo ila wenzetu wamepewa majina ya kizungu yaan Broker, Agents. wote hawa wanapiga pesa bila mtaji zaid ya kulijua soko linataka nin. Fikiria Mendez anavyowauza wachezajiUnajua kuna watu humu, wanaleta mambo ya kusadikika, tu, wakati kuna watu tunayaishi hayo mambo!! Tena unakuta mtu hata hajawahi yaona bali ni kupinga tu, karibu 90%ya biashara za Tz, dalali hakwepeki kamwe
Sent using Jamii Forums mobile app