mi nimekuelewa ila watu sasa hivi naona kama wanataka kupnda tu mbona hii thread imekaa vizuri, sema watu wanakurupuka, maana mawazo yako ni kuhusu mustakabali mzima wa sasa na baadae yaani kuonekana kikwete hayuko makini huenda ndio faida kubwa sana kwa ukombozi wa tazania baadae.