Mbio za kumrithi Lema zimeanza Arusha wanachama wa Chadema wajitokeza kwa wingi

Wanabodi.

Kwa mujibu wa habari kutoka Arusha zinasema kuwa makada wa Chadema wametajwa kuanza kupigana vikumbo vya kuwania ubunge jimbo la Arusha mjini.

Taarifa hizo zimewataja walianza mkakati wa kuwania kuteuliwa na Chadema ni Mkurugenzi wa kampuni ya Horizon Group, Brighton Mushi, Calist Lazaro, diwani wa kata ya Levolosi Afatha Nanyaro, diwani wa kata ya Mabogini wiliyani Moshi vijijini, Albert Msando, Victor Njau, Dereck Magoma.

Kinachosubiliwa ni rufaa ya Lema, kila mmoja amekuwa akiungwa mkono na kundi lake katika mbio za kumrithi Lema wakati wakisubiri hukumu ya mahakama.

Taarifa hizo zimetaja mbunge wa jimbo la Moshi mjini Phillemon Ndensamburo kumpigia debe Msando ndani na nje ya chama hicho kwa lengo la kumjenga wakati wakisubiri hukumu ya mahakama.

Salma JK Vs Jiwe lenye rangi ya CDM,Ni Ushindi Wa Kishindo Kwa Jiwe.
 
Jana ulikuja na Nyari
leo naona upepo umegeuka uko na CDM
cha muhimu ungeendelea kumtetea mtu wako Nyari bana
Waache wengine watetee watu wao japo ni uhuru wako
Na wewe aliyekuambia za CDM ni nani

Kesho atatuletea mchakato wa TADEA,
Keshokutwa wa NRA,
Then TLP, SAU, CUF n.k
 
Mwanasheria wa kujitegemea wa jijini Arusha, Victor Njau nimeongea naye kwa simu nimemuuliza vipi mkuu unajitosa Arusha Mjini, ananimbia naweza kugombea bado natafakari ngoja kwanza tusubiri hukumu ya mahakama.
Ongelea jimbo la segerea mambo yamemkalia vibaya gamba mwenzako
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa habari kutoka Arusha zinasema kuwa makada wa Chadema wametajwa kuanza kupigana vikumbo vya kuwania ubunge jimbo la Arusha mjini.

Taarifa hizo zimewataja walianza mkakati wa kuwania kuteuliwa na Chadema ni Mkurugenzi wa kampuni ya Horizon Group, Brighton Mushi, Calist Lazaro, diwani wa kata ya Levolosi Afatha Nanyaro, diwani wa kata ya Mabogini wiliyani Moshi vijijini, Albert Msando, Victor Njau, Dereck Magoma.

Kinachosubiliwa ni rufaa ya Lema, kila mmoja amekuwa akiungwa mkono na kundi lake katika mbio za kumrithi Lema wakati wakisubiri hukumu ya mahakama.

Taarifa hizo zimetaja mbunge wa jimbo la Moshi mjini Phillemon Ndensamburo kumpigia debe Msando ndani na nje ya chama hicho kwa lengo la kumjenga wakati wakisubiri hukumu ya mahakama.

Mkuu 'hangover' ya Arumeru mashariki bado haijasha tu!
 
Mkuu Rejao,
Vipi zile Machinga Complex mbili na hosptal alizotoa ahadi Lema wamefikia wapi.

Lema kasema ataendelea kusomesha wanafunzi 417 wa sekondari za kata kupitia mfuko wa maendeleo ya jimbo la Arusha (ArDF). Lakini Machinga Complex na hospital kakataa kuviongelea.

Ukipiga hesabu ya kawaida Ada za shule za kata ni 1500 kwa kila mwanafunzi kwa mwaka.

1500X417=6,255,000.

Arusha hatuhitaji kujenga machinga complex wala nini, kuitoa ccm tu ni maendeleo, mengine tutawadai wakianza kukusanya kodi ifikapo 2015 tutakapo wakabidhi serikali.
 
Mleta thread ana nia ya kudanganya umma,CHADEMA hatuna utamaduni wa kupigana vikumbo,na kwa sasa tunashughulikia rufaa yetu mahakamani.Swala la kuanza kupigana vikumbo halina nafasi ndani ya chama.Kama tulivyosema tuna imani na mahakama ya rufaa,hii inabaki kuwa kauli rasmi ya chama,na mimi kama Mwanachama na kiongozi wa chama siwezi kuanza kupigana vikumbo eti kuwa nataka kugombea ubunge,hata kabla ya rufaa ambayo nimeshiriki vikao husika,kuanza.
Habari hii haina ukweli wowote
 
Mleta thread ana nia ya kudanganya umma,CHADEMA hatuna utamaduni wa kupigana vikumbo,na kwa sasa tunashughulikia rufaa yetu mahakamani.Swala la kuanza kupigana vikumbo halina nafasi ndani ya chama.Kama tulivyosema tuna imani na mahakama ya rufaa,hii inabaki kuwa kauli rasmi ya chama,na mimi kama Mwanachama na kiongozi wa chama siwezi kuanza kupigana vikumbo eti kuwa nataka kugombea ubunge,hata kabla ya rufaa ambayo nimeshiriki vikao husika,kuanza.
Habari hii haina ukweli wowote

Mkuu takukumbusha siku ukienda kuchukuwa fomu ya kugombea ubunge Arusha mjini.
 
ritz+Rejao na wale wengine


wote wapo utumwani na ninachoshangaa hawasomi hata

alama ya nyakati!

Poleni wandugu!
 
Huyu si ni reporter wa CCM, imekuwaje tena leo. Eti makundi, makundi yako huko uliko. changa la macho!
 
Ritz,hii ni tetesi,na haina mashiko.Bado nasisitiza kuwa CHADEMA Arusha,hakuna makundi,wala hatutaruhusu makundi.Tunaheshimu na kupigania utawala wa sheria,na haki.Jimbo la Arusha mjini halijatangazwa kuwa wazi,na mamlaka zinazohusika,kipaumbele chetu kama chama na kila mwanachama,na mpenda haki ni Rufaa,na tuna imani ya kushinda rufaa na Lema kurejeshewa Ubunge.Mahakama ya rufaa itaheshimu maamuzi ya umma wa Arusha.Kama Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Arusha mjini,sipo tayari kuona au hata mimi kuwa sehemu ya makundi ndani ya chama,maana CHADEMA ndio tumaini pekee la mamilioni ya Watanzania
Mleta thread ana nia ya kudanganya umma,CHADEMA hatuna utamaduni wa kupigana vikumbo,na kwa sasa tunashughulikia rufaa yetu mahakamani.Swala la kuanza kupigana vikumbo halina nafasi ndani ya chama.Kama tulivyosema tuna imani na mahakama ya rufaa,hii inabaki kuwa kauli rasmi ya chama,na mimi kama Mwanachama na kiongozi wa chama siwezi kuanza kupigana vikumbo eti kuwa nataka kugombea ubunge,hata kabla ya rufaa ambayo nimeshiriki vikao husika,kuanza.
Habari hii haina ukweli wowote
 
Wanabodi.

Kwa mujibu wa habari kutoka Arusha zinasema kuwa makada wa Chadema wametajwa kuanza kupigana vikumbo vya kuwania ubunge jimbo la Arusha mjini.

Taarifa hizo zimewataja walianza mkakati wa kuwania kuteuliwa na Chadema ni Mkurugenzi wa kampuni ya Horizon Group, Brighton Mushi, Calist Lazaro, diwani wa kata ya Levolosi Afatha Nanyaro, diwani wa kata ya Mabogini wiliyani Moshi vijijini, Albert Msando, Victor Njau, Dereck Magoma.

Kinachosubiliwa ni rufaa ya Lema, kila mmoja amekuwa akiungwa mkono na kundi lake katika mbio za kumrithi Lema wakati wakisubiri hukumu ya mahakama.

Taarifa hizo zimetaja mbunge wa jimbo la Moshi mjini Phillemon Ndensamburo kumpigia debe Msando ndani na nje ya chama hicho kwa lengo la kumjenga wakati wakisubiri hukumu ya mahakama.

Ritz!samahani naomba nikuulize!hii habari uliyoandika hapa mbona imeandikwa exactly kama ulivyoandika hapa ktk gazeti la Mwananchi la jana lakini wewe hujafanya reference?kwanini hujasema source gazeti Mwananchi?
 
Vigogo CCM vitani ubunge Arusha Mjini


na Grace Macha, Arusha




HATA kabla ya Tume ya Uchaguzi haijatangaza kuwa nafasi ya ubunge wa jimbo la Arusha Mjini iko wazi, vigogo kadhaa kutoka Chama cha Mapinduzi, wakiwemo wafanyabiashara maarufu jijini hapa wameingia katika vita kali ya kuwania nafasi hiyo.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya chama hicho mkoani hapa zimethibitisha kuwepo kwa harakati hizo ambapo baadhi ya makada na wanachama wanaotajwa, wameunda tayari kamati za kampeni kuhakikisha kuwa wanateuliwa kuwa wagombea wa nafasi hiyo.

Hata hivyo, mfanyabiashara maarufu, Justin Nyari, ambaye amekuwa akitajwa kuwa mmoja wa makada wa CCM wanaostahili kuwania kiti hicho, alikanusha madai ya kuanza kampeni akisema hawezi kufanya jambo hilo kwa vile vyombo vyenye wajibu na mamlaka ya kisheria kufanya hivyo havijatangaza.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha jana, Nyari alisema kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uamuzi wa kumvua ubunge, Godbless Lema, uko kwenye mchakato wa rufaa hivyo siyo sahihi watu kuanza kuzungumzia kiti hicho.

Nyari aliongeza kuwa kisheria, hakuna anayejua maamuzi ya Mahakama ya Rufaa baada ya Lema kupinga hukumu ya Jaji Gabriel Rwakibarila iliyotengua matokeo yaliyompa ushindi.

“Ni Mungu pekee ajuaye mambo yajayo. Sasa watu wanawezaje kujitokeza kujitangaza au kuanza kutangazwa kufaa kuwania ubunge kwenye jimbo ambalo halijatangazwa kuwa wazi na vyombo vyenye mamlaka kisheria?” alihoji Nyari.

Mfanyabiashara huyo ambaye ni diwani wa kata ya Mererani, wilayani Simanjiro, kupitia CCM alikataa kuzungumzia kauli za wanaomtaja kufaa kugombea iwapo kiti hicho kitatangazwa kuwa wazi kwa madai kuwa kipaumbele chake kwa sasa ni kuhudumia na kutatua kero za wananchi waliomchagua.

Alisisitiza kuwa wote wenye nia ya kuwania ubunge jimbo la Arusha wanapaswa kuheshimu utawala wa sheria kwa kusubiri uamuzi wa rufaa ya Lema ambaye anaweza kurejeshewa ubunge wake iwapo jopo la majaji wataridhika na hoja zake za kupinga hukumu.

“Iwapo mahakama ya rufaa pia itathibitisha uamuzi wa kutengue matokeo na jimbo kutangazwa kuwa wazi, ndipo wenye fikra ya kuwania wajitokeze kutangaza nia yao wenyewe au kupitia wapambe wao, lakini siyo sasa kama inavyoanza kujitokeza,” alisema Nyari.

Jaji Rwakibarila alitengua matokeo ya ubunge jimbo la Arusha Aprili 5, mwaka huu, baada ya kuridhika na ushahidi kuwa Lema alitoa kauli za kashfa na ubaguzi kijinsia dhidi, Dk. Batilda Buriani aliyegombea kupitia CCM.

Baada ya hukumu hiyo iliyozua mjadala mkubwa nchini, Lema alitangaza kutokata rufaa ili kuruhusu uchaguzi mdogo akitamba chama chake kuibuka na ushindi kabla ya kuamua kukata rufaa baada ya kushauriana na wakili wake, Method Kimomogoro na viongozi wa CHADEMA.
 
Ina maana wameanza kujipanga kuchukua fomu au ni story za mtaani tu? Mi nangoja muda wa fomu ufike nichukue bila maneno mengi.
 
Cdm,wawe makini ktk kuteua mgombea,maana kama watazingatia hoja ya wapiga kura ya kuwa yyte akiwekwa atapigiwa kura,ni jambo la hatari sana,watafute mtu atakayeleta maendeleo na kubadilisha sura ya jiji la arusha,wajihadhali na hawa vijana wanajiita wanaharakati(wanasheria waliotoka chuoni ni matapeli wakubwa.fuatilieni utapeli wao mitaani
 
Back
Top Bottom