Mtu anawekeza pesa yake kwenye biashara anayoiona inafaa kumlipa faida.Sasa Chakushangaza anabeba jamaa zake kutoka kijijini eti waje kusimamia biashara zake wakati hata lugha ya biashara hawajui .Huu ni uwekezaji wa kishamba kabisa
Nisiku ambayo anga liligeuka ghafla na kuwa jekundu.
Mingurumo ilitamaraki kila eneo.
Siku ambayo mzee Mashati wa Gongo Lamboto alikimbia mpaka Mbezi ya Kimara.
Siku ambayo watu waliwatelekeza watoto wao na kubeba mbwa nakukimbia.
Naam siku hatari sana ya milipuko ya mabomu ya Gongo la...
Kwataarifa za ndani ya makanisa yaliyofutwa nikwamba yulemama hasimu wake alikuwa akisalimojawapo ya makanisa yaliyofutwa .
Niwazi P. kagame hajafutia usajili wa makanisa hayo kwasababu tu ya kutekeleza sheria ya ya usajili bali kuna kitu anakitafta hasa hasa akidhani anakomoa upinzani wake...
Kuna msemo unasema(sijui kama ni wakidini) usiyotaka yetendeke Nawe husiyatende. Sijui kama unauelewa wa Siasa..
Mkuu hizo ndizo Siasa. SIASA HUWA ZINABADIRIKA KUTOKANA NA HALI YA KiSIASA.
Penye uhuru wa Kisiasa vitu kama hivyo hutaviona. UHURU UKIBANWA ZINAANZA SIASA ZA AJABU AJABU.
Wanasaiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.