Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mjadala umeshafungwa na CAG pale Ikulu leo!Zito hawezi kupewa nafasi hiyo kamwe watetezi ndy watapewa
Ova
Nani?Si sawa kabisa maana huyu anasaka tonge, anapotosha sana
"Kila zama lazima ziandikwe" A. H. Mwinyi.I.t.v Imepitwa tv
Kwa nini usianzishe Tv yako ukawa unawapangia watu wa kuongea na nini cha kusema?Haileti maana ya kipindi cha leo kufanyika, tunaomba sana Kafulila hawezi kuzungumza peke yake kwa mantiki moja tu hatutawaelewa mkija kutuambia tahadhari ya kwamba mdahalo huu sio msimamo wa ITV......
Uhasibu una Dr na cr. Zaidi ya hapo tunadanganyana. Na uki Dr weka document ulicredit weka document. Siasa ni pale unaposema document ziliungua au unauliza swali kwa sababu hunipendi.Mbona nyinyi hamna uvumilivu wa hoja kinzani? Vumilieni msikie na upande mwingine. By the way huyu mkiti WA pac naona hatoshi kabisa, ni cdm eeh!!