DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,454
- 46,804
Mimi ni mwana CCM Damu. Nilimchagua Rais Magufuli na pia ni kiongozi mkubwa tu ndani ya Chama. Ila, lazima nitashiriki maadamano ya Amani kwa sababu zifuatazo.
1. Hali ya uchumi imefikia Pabaya. Mimi nina Restaurant, maize yameshuka kutoka laki 6 kwa siku, hadi laki moja au hata elfu sabini
2. Wadogo zangu wawili wamemaliza chuo, mwaka wa pili sasa hawana kazi
3. Kodi zisizo na kichwa wala miguu. Yaani kodi hazitamaniki, ni kubwa mno.
4. Hali ya usalama imekuwa mbaya, watu wanatishwa, wanatekwa, na hata kuuwawa. Rafiki yangu ndani ya Chama juri katishwa kuuwawa kwa sababu alihoji Bashite anapata wapi madaraka ya kuwabugdhi watumishi
5. Polisi wamekuwa adui wa raia, kuanzia traffic police hadi polisi wa kawaida. Wanawatesa wananchi bila sababu za msingi
6. Sababu kubwa zaidi, ni nafsi zetu kutawaliwa. Tunalazimishwa kuishi kama wanyama, tunalaimishwa kufuata "CCM NI PORI LA WAJINGA"
kuna kila dalili kuwa 95% ya wanaccm wameathiriwa na matatizo ya uchawi, ujinga, upumbavu. na huenda Wote ni majizi. kwa wale wanaccm waliofika walau form ii wamesomea umuhimu wa multipartism ndani ya nchi kwamba ndio kioo cha serikali yaani ndio mbadala wa serikali yo yote duniani. nchi za ujerumani na uingereza tunasikia vyama vinaungana kuunda serikali, hii imekwishafanyika kenya, zanzibar na kwingineko lakini cha kushangaza kwa akina Mungu magufuli tunaona wapinzani wamekuwa wahaini hawaruhusiwi kuikosoa serikali.
ujinga ni pale ccm inapodhani kuwa nchi ni ya kwao hawajui wao ni wahuni tu na wauaji fulani tu na mkataba wao pia umeisha ni muda ambao nao watajutia mambo hayo waliyoyafanya.
kama watu wana PhD wakati uelewa ni wa CHEKECHEA inamaanisha wana mawazo mgando kama vima.
there are men and women in chadema BUT boys and girls are found in ccm .
for our brothers and sisters you shed their innocent bloods, TIME WILL TELL
R.I.P akwilini,john, .., ..., ..., ...,
Amin bila kuhoji.