Kitu gani cha thamani kuliko vyote kwako?

Kitu gani cha thamani kuliko vyote kwako?

fedha ni kama mapambo inaweza kuja na kuondoka. unaweza kuwa na fedha usiwe na furaha. kuna watu ni matajiri sana ila hawakuzienjoy fedha zao. Tajiri wa kampuni zinazozalisha bidhaa za apple kafa na kuacha matilioni ya dola za kimarekani. sasa pesa na uhai kipi bora. yaani upate pesa kisha ufe au uendelee kuishi huku unaunga unga kisela?
 
huwa hupendi mahubiri mkuu? je, wote walioko umu hawapendi kama ulivyo wewe au umejifikiria wewe tu? yanakuchoma moyo?yanakufanya ujisikie guilty? yanakufanya usisimke kama umepagawa na mapepo? sema tukusaidie mkuu.
Ushindwe mwenyewe. Mungu wangu yupo rohoni mwangu natembea naye na nina furaha moyoni. Sina haja ya kutangaza hata nikifunga najipulizia perfume nzuri na natembea kama kwamba nimeshiba. Whatever you do has to be between you and God siyo matangazo.
 
Kila mtu anacho kitu anachothamini kuliko vyote katika maisha yake, kwako wewe msomaji, ni kitu gani kina thamani kuliko vitu vyote hapa duniani kwa mtazamo wako! that thing which you value the most na umekiweka grade no. one kwako kwamba kwa mtazamo wako hakuna kitu chenye thamani kuliko hicho?

kwa maoni yako, kwa mwanadamu yeyote, nini ni kitu cha thamani kuliko vyote ambacho pengine yeye hata hajui kama ni cha thamani?
Wo wo wo langu
 
Ukikutana na Alshababu sidhani kama hutomkana Yesu.

Nadhani huujui utamu wa huyu Yesu Kristo Mnazareth. Kwanza huyo alishababu hatoweza kunitenda chochote kama siku zangu hazijatimiya. Yesu Kristo ni moto ulao.
 
Ushindwe mwenyewe. Mungu wangu yupo rohoni mwangu natembea naye na nina furaha moyoni. Sina haja ya kutangaza hata nikifunga najipulizia perfume nzuri na natembea kama kwamba nimeshiba. Whatever you do has to be between you and God siyo matangazo.
atakayenionea haya mbele za watu mimi pia nitamuonea haya mbele za baba yangu. funguka.
 
kitu chenye thamani kuliko vitu vyoooote ni DAMU YA YESU KRISTO. ndio maana ukimwambia shetani "Yesu Kristo alilipa deni langu lote, sidaiiwi hivyo nakufukuza kwa ushuhuda wa Damu ya Yesu Kristo, ondoka kwa Jina la Yesu Kristo....shetani huwa habaki, lazima aondoke. magonjwa yanatii. hii ni kwasababu, Damu ya Yesu haikuwa na hatia wala doa, na ni Damu ya Mungu mwenyewe (how? kwasababu Yesu Kristo alifanyika mwili akae nasi ila alikuwa na vinasaba vya mbinguni katika ulimwengu wa roho hivyo haikuwa damu sawa na ya kwetu).....DAMU YA YESU KRISTO inaponya, iinatakasa, inafungua, na hakuna mlima ulishawahi kushindwa mbele yake kwasababu inanena mema juu ya mtu aliyemwamini Yesu na kuiitia. kiri Damu ya Yesu, ita Damu ya Yesu.
 
Back
Top Bottom