maisha yamepanda kwa nchi nzima na sio dodoma peke yake na hii ni kutokana na uchumi wetu ulivyo kwa sasa kila kukicha unazidi kuporomoka hivyo ni jambo la busara kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wote na sio wabunge peke yao.
hakuna umoja utakao endelea kama CCM hawatakubali kubadilisha sheria ambazo zimemlimit mwananch wa kawaida kuwa huru ktk mchakato mzima wa katiba mpya. na wasipokuwa makini lazima damu imwagige nchi hii.
nahukuru kuona waasisi wa chama wamelitambua hilo, kinacho endelea dodoma ni unafiki na kurushiana vijembe visuvyo kuwa na ticha kwa taifa hili na CCM ndio watakuwa wa kwanza kuvuruga amani ya nchi hii
nasikitika kuona CCM bado hajatambua nini maana ya mabunge ya vyama vingi, na wananci waelewa hakuna kilichoboresha muswada huu zaid ya kuwatupia maneno chadema hakika ujumbe umefika tena kwa asilimia zote na watanzania ilo tulielewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.