Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Asante, lakini hili la mauaji, linatisha sana....CDM wekeni kumbukumbu ya wale wote walipoteza maisha katika mapambano haya na CCM, ndio watakuwa mashujaa wenu siku mkiingia ikulu
mpaka polisi wanafurahia peoples power! Raha kweli kweli!