Spika wa bunge akiri uwezo wa CHADEMA

Nilipata hasira nikatoka nje na sikuweza tena kuendelea kuangalia bunge,maana kila ninapofikiri jinsi muswaada huu ulivyoendeshwa kibabe kwa kujidai kuwa wana watu wa kuzuia maandamanao kwa kuwa kuna watu wanataka kuandamana,hicho kitu kimenikera sana na kuona kumba ni ubabe tu. Na kwa kauli za kina Lusinde hii ni tatizo kwa taifa,tena ni janga la kitaifa.

Naomba nasi tuendelee kupashana habari ili nasi tupate cha kutoka nacho maana hawa wenzetu wamepitisha muswada. Na huyu mama Makinda ni very dangerous ni sehemu ya matatizo kwa watanzania, ila Mungu hajalala
 
Naikataa CCM na mabaya yake yote na mafisadi wake wote. Mswaada haujajadiliwa kwani kilichokuwa kinajaliliwa ni majungu tu.
 
Spika wa Bunge la Jamuhuri wa muungano wa Tanzania amekiri uwezo walionao wabunge wa CHADEMA. Ameyasema hayo mara baada ya kupitishwa kwa mswada wa katiba mchana huu kwa kusema kuwa, "wabunge wa chadema hawajaitumia haki yao ya kuchangia mswada huu, nilittegemea mswada huu usingeisha leo, ungekaa wiki nzima kutokana na amendments ambazo wangeziwasilisha"

Hii ina maana kwamba mswada umepitishwa leo kutokana na wabunge walioshiriki mjadala ambao ni zaidi ya 300 kutotoa amendments za kutosha, hivyo kukosekana kwa mchango wa wabunge wa CDM kumedhoofisha maboresho ya mswada huo.
Kumbe hata wao wanajua wamepitisha kitu feki kitakachowarudi.
 
Hana lolote anajikosha tu huyo,yeye ndiye aliyekataa kutoa ruhusa pale wabunge wa upinzani walipoomba muongozo, huyu Makinda amewekwa hapo na mafisadi, siku zake zitafika atajutia uamuzi wake!

Halafu mnisaidie: Huyu mama (Makinda)anakipara? Anavaa wigi usiku na mchana anayejua historia ya huyu mama naomba anijulishe tafadhali, toka alipozaliwa hadi hapo alipo leo hii.
 
Spika wa Bunge la Jamuhuri wa muungano wa Tanzania amekiri uwezo walionao wabunge wa CHADEMA. Ameyasema hayo mara baada ya kupitishwa kwa mswada wa katiba mchana huu kwa kusema kuwa, "wabunge wa chadema hawajaitumia haki yao ya kuchangia mswada huu, nilittegemea mswada huu usingeisha leo, ungekaa wiki nzima kutokana na amendments ambazo wangeziwasilisha"

Hii ina maana kwamba mswada umepitishwa leo kutokana na wabunge walioshiriki mjadala ambao ni zaidi ya 300 kutotoa amendments za kutosha, hivyo kukosekana kwa mchango wa wabunge wa CDM kumedhoofisha maboresho ya mswada huo.


Ni kweli nimeitambua na kuiona hiyo.Ni haibu.
 
Kama muswada umepita - it's over. Not in our generation will this coutnry prosper! May be in the next generation. Oooh Lord have mercy!
 
mh Spika spika! Unaposema wenzetu una maana uko upande upi?
 
sina huakika kama huyu mamani mzima bt ngoja tumuangakietuone mwisho wake kwan naamin ataishia pabaya
 
Spika wa Bunge la Jamuhuri wa muungano wa Tanzania amekiri uwezo walionao wabunge wa CHADEMA. Ameyasema hayo mara baada ya kupitishwa kwa mswada wa katiba mchana huu kwa kusema kuwa, "wabunge wa chadema hawajaitumia haki yao ya kuchangia mswada huu, nilittegemea mswada huu usingeisha leo, ungekaa wiki nzima kutokana na amendments ambazo wangeziwasilisha"

Hii ina maana kwamba mswada umepitishwa leo kutokana na wabunge walioshiriki mjadala ambao ni zaidi ya 300 kutotoa amendments za kutosha, hivyo kukosekana kwa mchango wa wabunge wa CDM kumedhoofisha maboresho ya mswada huo.
huyu mama mzee kwa akili zake za kizee anathubutu kusema hivyo??? anelezea umma kuwa muswada umepita ukiwa na mapungufu kibao ambayo yamepitishwa na magamba na nyumba yake ndogo (CUF), bila kufanya amendments za kujenga jamiii. Huyu mbibi ni mp........... kweli. Au anajikosha kwa CDM? yeye toka mwanzo alikuwa upande wa magamba. nikiendelea nitatukana bure wakati nimeungama leo sitaki dhambi
 
Bi Kidude" Una maanisha spika ndo jina lake hilo, mweeeeeeeee! Huwa ananifurahisha kweli muda wote anauza mwanya wake na vijineno vya ajabu ajabu kwa kila swali la nyongeza pale bungeni. Ukiwa huna akili, ingia ccm utaishi maisha matamu bila maadili
 
Bunge haliwezi kusimamiwa kwa haki ikiwa kama Spika ni mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama kimoja. Hii ni kama kumchukua Assistant Coach wa Timu moja ya mpira na kumfanya referee wa mpira kati ya timu yake na timu nyingine. Ni lazima ataipendelea timu yake. Wote tuanofuatilia majadailiano ya Bunge tunaona upendeleo huu wa wazi wa Spika Makinda kwa CCM. Hata katika hotuba yake ya kujumuisha mjadala wa muswada huu wa katiba Spika Makinda amekuwa akisema ........tulitegemea WENZETU wangefanaya hili au lile.......... ikimaanisha kuwa hao ni kundi lingine. Hii ni sababu nyingine ya kutaka madiliko ya Katiba. Hata hiii Hotuba ya Rais kwa wazee wa Dar ni kwa Wazee wa CCM kwa hiyo huyu Rais ni wa CCM na sii wa Watanzania wote.
 
Sijui nikailipue nyumba yake pale kijitonyama!!!, kwanza ametuzibia barabara hii inauma sana
 
Bunge haliwezi kusimamiwa kwa haki ikiwa kama Spika ni mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama kimoja. Hii ni kama kumchukua Assistant Coach wa Timu moja ya mpira na kumfanya referee wa mpira kati ya timu yake na timu nyingine. Ni lazima ataipendelea timu yake. Wote tuanofuatilia majadailiano ya Bunge tunaona upendeleo huu wa wazi wa Spika Makinda kwa CCM. Hata katika hotuba yake ya kujumuisha mjadala wa muswada huu wa katiba Spika Makinda amekuwa akisema ........tulitegemea WENZETU wangefanaya hili au lile.......... ikimaanisha kuwa hao ni kundi lingine. Hii ni sababu nyingine ya kutaka madiliko ya Katiba. Hata hiii Hotuba ya Rais kwa wazee wa Dar ni kwa Wazee wa CCM kwa hiyo huyu Rais ni wa CCM na sii wa Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom