Haa ha haaa, Yupo mitaa ya hapa kwetu alikua mpole alivyofika miezi 7 tu,mara nataka kuku,ukileta anazira na anakuambia amekinai hataki tena nlitee udongo! Ndo hali ya lipumba...CDM walipita mikoani kupinga mfumuko wa bei,kuilipa dowans,kufeli kwa 4m 4,kudai katiba mpya n.k,lipumba akadai...