upo correct sanaa jamaa galz hawajui wanakuwa ctak nataka kwa watu wanaowapenda mwisho wa cku boy anaendelea kula pengne huku anakomaa na huyu ctaki nataka na cku akizama kwenye 18 nikulipa kisasi tu kutokana na kuzungushwa na anakuwa hana mapenzi nae coz anakuwa na mwingne.
Diamond platnumz baada ya kutofanikiwa kupata Tuzo Ya BET asema haya
..
Imani yangu ni kwamba umekuwa mfuatiliaji mzuri wa habari tofauti kuhusu muziki wa Tanzania na unafahamu kuhusu tuzo kubwa aliyokuwa akiwania msanii Diamond katika tuzo za Bet Nchini Marekani. Taarifa mpya ni kuwa Tuzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.