Huyu ananipenda kweli au najidanganya!

Huyu ananipenda kweli au najidanganya!

umewahi sana mambo hayo na utaenda jela nakwambia! we endelea tu kujidai wewe ndo kidume kutaka kufanya mapenzi na minor...toka hapo nenda shule wewe acha tabia za ajabu ajabu khaaa! nyie ndio div 5!
 
unaweza toa ushauri kwa mtoto wako wa kuzaa bila kujua, dogo kasome utawagegeda sana huko mbeleni.
 
kweli kwa maneno haya usiporudi shule utakua mbishi wa wabishi
 
kweli dunia imebadilika, mtoto ambae ndo kwanza amemaliza form four analalamika tena kwa majonzi makubwa kunyimwa tendo la ndoa!. Sijui hii kitu ina nini had watoto wanaililia hivi


Madhara ya movies, he wants to copy and paste western cultures, usikute hata haelewi what are the consequences of his actions sema ili tu apate umaarufu kijiweni bas anaforce simply bcz kila mtu mtaani anamtaman huyo grl
 
umewahi sana mambo hayo na utaenda jela nakwambia! we endelea tu kujidai wewe ndo kidume kutaka kufanya mapenzi na minor...toka hapo nenda shule wewe acha tabia za ajabu ajabu khaaa! nyie ndio div 5!

me nampenda sana hyu dem
 
Dogo we komaa na shule kwanza huwezi kufa kwa kutofanya hyo kitu sa ivi, ukifika chuo utakutana nao ambao hawana usumbufu kwenye hyo kitu afu hata huyo mtoto mwenzio atakua ameshakua kidogo
 
Sio kama me div.5,najielewa sanaa tu na nimepiga pepa vizuri sana tu.Tatizo upendo
 
Pole sana. Hata hivyo nyote wadogo tu. Ni kawaida ya wasichana bikira kuwa na usumbufu kama huo. We jipe muda kuna siku atakubali bila ya wewe kutumia nguvu.

nikichelewa sana nisije nikakuta washaharibu!
 
He! Kweli haya makubwa ningekuwa karibu na wewe na nakufahamu ungekula bakora za kutosha kwa kuuliza watu wazima wakushauri ujinga wakati we mwanafunzi. Vijana acheni hizi tabia hebu nenda kamuulize mchungaji wako au shekhe usikie atakushaurije ndo uje humu. Mnaendekeza zinaa tu ndo maana hata dunia imekosa baraka za MUNGU. Yani wewe hukupaswa kuuliza kiswali chako humu labda fb kwa watoto wenzio ndo panakufaa.
 
Miaka 18.... una mipango gani ndugu? Tafuta maisha usitake kumharibu mtoto wa mwenzio. Halafu mapenzi sio ngono tu
 
Habari wadau!
Mimi nina umri wa miaka 18 niko Ruvuma.Nina girl friend wangu ambaye nimeanza nae mahusiano miezi miwili iliyopita,alihamia mtaani kwetu akitokea mkoa mwingine baada ya kufiwa na baba yake,ko amechukuliwa na dada yake.Ni mzuri sana kwa sura na kila kitu maana kila mtu anataka kuwa nae.Nina malengo nae sana mana hadi nyumbani mama anamfahamu.Kiumri nimemzidi kidogo,ninampenda sana na yeye ananipenda kuliko mimi.Sasa tatizo linakuja kwenye kufanya mapenzi,nimejaribu kumueleza mara kadhaa amekuwa mgumu kupita maelezo,ila siku moja nilifanikisha kuingia nae chumbani tukakaa kwa mda wa masaa mawili ila sikufanikisha zaidi ya kumchezea tu.Alichukia sana nusu tuachane lakini kwa kuwa ananipenda tukawa pamoja tena.Pia amesema kuwa yeye ni bikra,nilijaribu kumuelekeza wiki tatu zilizopita akanielewa ila tatizo tuligombana kwa hyo ikashndikana tena,alituma mtu kuniomba msamaha nikamuelewa.Nikamkumbusha tena kuhusu ku do akawa mgumu tena na ukizingatia kwao anabanwa kupita kiasi na dada ake anayekaa nae na mimi ni mwanafunzi kidato cha tano nimepangiwa mkoa wa pwani,ila bado sijaripoti shuleni.
Je huyu ana mapenzi ya dhati na mimi kweli ama la!

dogo soma shule acha mambo hayo umri huo haufai kufanya hayo unayofanya ww.
Mapenz yapo tu utafanya mpaka utayachoka mwenyewe
 
Wakuu......Watoto wametukosea heshima.. hizi fake IDs zinawapa kiburi,

Yaan unaomba ushauri kwa swala ambalo limekuzidii umri? ukimpa ujauzito unaweza ku handle? Au ndio nyinyi mnakimbia mimba?

UMENIUDHI SANA. UNDER 18 NA 18 MNAOMBA USHAURI WA KUZINI KWA BABA ZENU, KAKA ZENU NA MAMA ZENU, KWEEELI? hebu mfuate mzazi wako anaye kulipia ada na umwambie haya unayotuambia hapa.

I suport u perpendicularly
 
Nyambaaaafu...ninyi ndio maruhani ninaowatafuta sana kwa kuwa mnatuharibia mabinti zetu.

Wanaizaya wenzako kama wewe nikiwakamata huwa nakamua hizo korodani na plaizi halafu ndio maongezi yanafuata.

huyu dogo anazinguliwa na nyege tu. Hapo uskute hata boxer ananunuliwa na baba lakn na yeye anataka kufunua
 
hebu nenda shule huko tunawasomesha kwa shida bado hata kupiga kura hujawahi unataka tuje kukufundisha mambo ya wakubwa?

humu kuna jukwaa la elimu hebu kaweke kambi kule hapa hapakufai sana.

Ha ha ha ha ha...


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Nyambaaaafu...ninyi ndio maruhani ninaowatafuta sana kwa kuwa mnatuharibia mabinti zetu.

Wanaizaya wenzako kama wewe nikiwakamata huwa nakamua hizo korodani na plaizi halafu ndio maongezi yanafuata.

Ha ha ha ha ha sasa mkuu hapo si unaMHASI kama Ng'ombe tena maksai


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom