Naomba msaada jamani, maana nlikuwa naweza kuhamisha files kutoka kwenye simu yangu (Techno boom J8) kwenda kwenye PC lakini nikifanya hivyo sasa inagoma,lakini nikiweka simu aina nyingine inakubali kuhamisha files. Msaada wenu muhimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu zuri @Ramea,pia hakikisha dume moja likipanda Mara mbili uza au chinja maana yake wanatakiwa wasije kupandana damu moja,maana ikiwa wamepandana koo moja lazima kaugonjwa kakiwapitia either kutokana na bacteria au viruses lazima watakufa karibu wote
Naomba msaada kwa mwenye mawasiliano chuo cha mifugo Tengeru,nampago Mdogo wangu nimpeleke huko maana anapenda na amepata c-chemistry,c-biology,c-math,na c-geog amechaguliwa EGM Mwenge sekondari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.