Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

Umeelezea vizuri sana .vp sasa inapotokea vita polisi hawaendi vitani? Kama wanaenda nani anakua analink kati ya polisi na jeshi ili waelewane kwenye mbinu,wakiwa vitani wanapata order kutoka kwa kiongozi yupi
Ukishasema Vita hyo unakuwa umeingia kwenye killing zone na watu ambao wamekuwa trained kwenye vita, uokozi, uvamizi na kuua ( Aggressive training ) ni wanajeshi so yeyote atakae ingia huko atapokea order kutoka jeshini tu

Lakini ndani ya internal security au safety zone watu ambao wamekuwa trained kwenye kudeal na Usalama wa raia na mali zao (safety zone) ni Police so hata kama kukatokea tukio ambalo linahusisha vyombo vingine nje ya Police na likawa linahusu raia na mali zao na nchi ikiwa si kwenye emergency situation hapo in charge ni Police so hata wanajeshi wakishiriki kwenye mission hyo mtoa order ni Police
 
Pia JWTZ ndo jeshi letu la wananchi ila polisi sio jeshi ni RAIA WAKAKAMAVU TU ndo maana hawajui hata kumkamata raia asie na silaha wao ni kupiga tu sasa sio jeshi lile ni kama jambazi au mwizi wa alieruhusiwa kuumiza raia
Pia mafunzo yao miezi 6 tu wakati jeshi ni zaid ya miaka huwezi walinganisha ni kifo na usingizi
Mikono yako iwe na breki katika typing

Kozi ya jkt ni 6 months
Jwtz (kozi ya awali) 4 months
Polisi ni 9months
Magereza ni 6months.

Jwtz baada ya kozi ya awali inayoweza kufanyikia Oljoro au Msata(Kihangaiko) wakisha pass out ndo wanachaguliwa kwenda kamandi mbalimbali, wengine jkt, wengine Komandoo(92KJ Ngerengere), wengine Navy, wengine kikosi cha Anga na wengine vikosi vya kawaida (askari wa miguu), sasa kutegemeana na kamandi kila askari hufundishwa huko ili kupata specialization, walioenda vikosi vya askari wa miguu nao hugawanyika wengine kusomea mabomu(bareti nyeusi) etc.

Magereza nao hugawanyika wengine baada ya kozi wanaenda vituoni na wengine kwenda kozi ya kikosi maalumu pale Ukonga(kikosi maalumu cha kutuliza ghasia magerezani) wanavaa vitambaa vya kijani mabegani (kozi miezi 6-9).

Polisi nao hugawanyika kutegemeana na specialization, hii ni baada ya mafunzo ya awali kwa wote kama ilivyo jwtz na magereza.
 
Hapo jipu sahihi ni kila mtu ni kubwa upande wake na kitu kingine watu wengi hawakifahamu kwa Mkuu Wa majeshi haina maana ni majeshi yote kama polisi na magereza hapana unaposema Mkuu wa majeshi ina maana jeshi la ulinzi linamajeshi matatu ambayo jeshi la nchi kavu, linakuja jeshi la anga na mwisho jeshi la majini hivyo boss wao ni mkuu majeshi!
 
Hapo jipu sahihi ni kila mtu ni kubwa upande wake na kitu kingine watu wengi hawakifahamu kwa Mkuu Wa majeshi haina maana ni majeshi yote kama polisi na magereza hapana unaposema Mkuu wa majeshi ina maana jeshi la ulinzi linamajeshi matatu ambayo jeshi la nchi kavu, linakuja jeshi la anga na mwisho jeshi la majini hivyo boss wao ni mkuu majeshi!
Hatuko huko unakowaza wewe.
Tunazungumzia seniority
Ngoja nikupe mfano, wakati gwaride linapopita mbele ya rais jeshi linaloanza kupita ni jwtz(kamandi zake zote na jkt) then polisi then magereza, huo mpangilio sio bahati mbaya ni mpangilio unaofuata seniority(Ranking).

Kiprotocal jwtz ni jeshi senior kwa wote, sasa unategemea CDF atalingana na IGP au IGP atamzidi CDF? Its obvious kwamba CDF ni senior kwa IGP.
 
Ukishasema Vita hyo unakuwa umeingia kwenye killing zone na watu ambao wamekuwa trained kwenye vita, uokozi, uvamizi na kuua ( Aggressive training ) ni wanajeshi so yeyote atakae ingia huko atapokea order kutoka jeshini tu

Lakini ndani ya internal security au safety zone watu ambao wamekuwa trained kwenye kudeal na Usalama wa raia na mali zao (safety zone) ni Police so hata kama kukatokea tukio ambalo linahusisha vyombo vingine nje ya Police na likawa linahusu raia na mali zao na nchi ikiwa si kwenye emergency situation hapo in charge ni Police so hata wanajeshi wakishiriki kwenye mission hyo mtoa order ni Police
Acha uongo???!!
 
Kwani wanaposema Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama wanamaanisha ni majeshi gani? Jeshi la ulinzi ni lipi na la usalama ni lipi?
Jeshi letu lina majeshi matatu ndani yake yaani jeshi la nchi kavu, maji na anga, kila jeshi lina mkuu wake kwahiyo CDF ndiye mkuu wa majeshi hayo matatu. Rais ni Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi(majeshi)na usalama(Tiss, police, prison, immigration).
 
Hatuko huko unakowaza wewe.
Tunazungumzia seniority
Ngoja nikupe mfano, wakati gwaride linapopita mbele ya rais jeshi linaloanza kupita ni jwtz(kamandi zake zote na jkt) then polisi then magereza, huo mpangilio sio bahati mbaya ni mpangilio unaofuata seniority(Ranking).

Kiprotocal jwtz ni jeshi senior kwa wote, sasa unategemea CDF atalingana na IGP au IGP atamzidi CDF? Its obvious kwamba CDF ni senior kwa IGP.

Mfano wako hauna mashiko.

Kulingana na mfano wako wanaoanza kupita kwenye Paredi ni Wanajeshi wa Nchi kavu.Kwa hiyo unataka kusema Luteni anayeongoza Paredi ya Nchi kavu ni mkubwa kuliko anayeongoza kikosi cha wanamaji wa JWTZ ambaye yupo kwenye guard inayofuata?
 
Acha uongo???!!
Kwani ww umekatazwa kusema ukweli ? Wakati mwingine ni vizuri kuficha upumbavu wako kuliko mtu mwingine akiuficha kwa ajili yako. Hivi Leo mfanyakazi wa TICTS akienda kusaidia kazi TPA order kuhusu kazi hyo atakuwa anapokea kutoka TICTS au TPA?
 
Jamani Naomba mnisaidie kati ya Mkuu Wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania kwa sasa generali Mabeyo na Mkuu wa polisi nchini kwa sasa IGP Mangu ni nani mkubwa kumzidi mwenzake kikazi?


Nafikiri Mabeyo ni mkubwa kwani nasikia anamzidi Magu kwa miaka 3 kama sikosei.
 
Matani ni sehemu ya maisha hasa majeshini na bandarini maana hata Makomandoo nao wanawaona Wanajeshi wengine kama Raia wakakamavu.Marekani nao wanaita majeshi ya Afrika kama Migambo.Hii ni kutokana na Teknolojia kubwa na Vifaa vya kisasa walivyonavyo.
Ukweli unabaki kwamba Mwanajeshi ni nani kulingana na Katiba ya Nchi husika.Kwa Tanzania Katiba inatambua JWTZ,POLISI,MAGEREZA na JKT kama Majeshi yenye majukumu tofauti.
Kwani ukisikia neno Commando unapata taswira gani? mbona ni wanajeshi kama walivyo wanajeshi wengine.
 
Back
Top Bottom