Sidhani kama konyagi inatengenezwa kwa kutumia kinyesi na vyuma vyenye kutu. Tatizo ni mari ghafi za kutengeneza hiyo gongo. Wanywaji wanapenda gongo concentrate ambayo ni hatari inaweza pofua macho.
Nkiwa ningali mdogo nlipenda siasa sana kiasi kwamba nliapa nikiwa mkubwa lazima niwe mwanasiasa. Labda hii ilitokana na babu yangu ambae alikua mmoja wa wanasiasa wakongwe (jina linahifadhiwa msije mkaniuliza picha) kupitia chama tawala na amefanya kazi kubwa ya kujenga nchi hii kabla ya kuamua...
Baada ya siku 14 nina uhakika Zitto hatofukuzwa. Zitto ni kama Lowasa Chadema. Hafukuzwi mtu na 2015 ndo mgombea wa Urais kupitia chadema na Lowasa ccm.
Siasa bhana, zinanipa raha sana.
Ps: ntarudia tena hili tamko bada ya baraza kuu kutoa maamuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.