Mi navofaham.. inpendekezwa shortlisting ifanyike kwa ratio ya 1/3 or 1/4.. yaani kama unahitaji watu 20 hardly unaweza kuita watu for interview kama 60 had 80... lkn kuita watu 1000 is inefficiency .. labda kuwepo na justfication nyingine
Hilo si jambo la ajabu kwa jamii ya wafugaji, kama umewahi kuishi au unatoka katika jamii kubwa za wafugaji kama wasukuma na umewahi kujishughulisha na kazi ya kuchunga mifugo huwezi kushangaa kwani hayo ndio maisha yao.
Mi nadhan kuwa ni mwanafunzi wako sio ishu kubwa, hasa ikiwa age difference ni miaka 7 tu pia hata yeye ni mtu mzima (I mean above 18). labda tungejua ur sex, coz for man marrying a woman younger with age difference of 7yrs is not an issue, and viceversa inaweza kuwa issue.
Mi nadhani suala la kunywa pombe linaweza kuzuilika iwapo mnywaji akiamua na kama unywaji wake si wa kuwa forced na mapepo, otherwise akiombewa anweza kupona. Kwani kuna watu wengi nimewashuhudia wakiacha kunywa kwa kuamua wenyewe na wakafanikiwa. Tatizo mimi ninaloliona ni huyo boyfriend wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.