golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
hamna cha kushauri hapo, ni wazi hapo ukiwa naye ndani ndo hata maendeleo hutayaona, anakupotezea muda hafai labda kama na ww upo hivyo vinginevyo utakuwa unampa nafasi ya bure. toka kwenye vimbweta mpaka leo mtu hajabadilika....when a woman loves!!!!!!:disapointed: