Afanya mapenzi na nguruwe

Afanya mapenzi na nguruwe

Hizi ni taarifa za kweli kwa sababu redio ebony iliongea moja kwa moja kwa simu na baadhi ya wakazi wa kijiji hicho waliothibitisha tukio hilo.
 
Nguruwe nguvu zote zile amebakwa? Kwel huu mchezo umekaa pabaya....
 
Nguruwe huyo apimwe mimba na hiv.
 
Eeeee bhana eeeeh alikuwa anasikilizia joto la mdudu mmmmh:twitch:
 
Kwa mujibu wa redio ebony ya hapa iringa kuna jamaa alifumaniwa kwa kufanya mapenzi na nguruwe katika kijiji cha itunundu pawaga,iringa.alipokamatwa alikiri huwa ulikuwa mchezo wake wa muda mrefu.hii jamii yetu inakwenda wapi sasa?
Hilo si jambo la ajabu kwa jamii ya wafugaji, kama umewahi kuishi au unatoka katika jamii kubwa za wafugaji kama wasukuma na umewahi kujishughulisha na kazi ya kuchunga mifugo huwezi kushangaa kwani hayo ndio maisha yao.
 
Kwa mujibu wa redio ebony ya hapa iringa kuna jamaa alifumaniwa kwa kufanya mapenzi na nguruwe katika kijiji cha itunundu pawaga,iringa.alipokamatwa alikiri huwa ulikuwa mchezo wake wa muda mrefu.hii jamii yetu inakwenda wapi sasa?

kufanya mapenzi ni kuingiliana kimwili na mwenza wako mlio ndani ya ndoa ... watu walio nje ya ndoa au ambao hawajao wala kuolewa hawafanyi mapenzi bali wanafanya uesharati / uzinifu na huyu aliye fanya na mnyama hakufanya mapenzi wa uesherati bali alimbaka huyu poor creature ...
 
khaaa huko Iringa kuna mchezo mchafu... Ina maana jamaa alishindwa kuimbisha?
 
Kwa mujibu wa redio ebony ya hapa iringa kuna jamaa alifumaniwa kwa kufanya mapenzi na nguruwe katika kijiji cha itunundu pawaga,iringa.alipokamatwa alikiri huwa ulikuwa mchezo wake wa muda mrefu.hii jamii yetu inakwenda wapi sasa?

Weka picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom