Kilichokutokea hata kwenye familia yetu yalitukuta, lakini siye watoto wa kiume tuliona sawa na hatuku umia wala kumchukia maid wetu ila dada zetu walimchukia sana, Mzee ana kisukari wakaulizwa mtakaa na baba yenu mpaka lini, je mkipata wachumba mtaendelea kuishi hapa nyumbani na baba yenu?, je...