Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
mkuu unanitolea maneno hayo umeelewa statment yangu?
Toka mwanzo nilisema nawaombea wale wajane ila sio waliopata kwa kujirusha kwa upumbavu wa kutaka chips kuku,soseji na bagger. Kama ww ni mjane Mungu akuongoze na akbariki upate mume ila kama ni chips kuku na bagga basi hilo utakula na wakwenu

Daah umesema ukweli mkuu ...kwa kweli kama itatokea nataka kuoa single mom basi ni yule mjane tu sio yule aliyemzalisha bado yupo hai sababu sitohitaji mke wangu awe connection na watu wake wa nyuma in any means
 
Akili yako imejionesha uko level gani wala usitumie nguvu nyingi sana kulazimisha upo bright

nmegundua jambo lingne ww bado hujakua na kufikia umri wa kuoa na hujajua changamoto mwanamke aliyezalishwa na ambaye hajazalishwa.
Ukifikia umri huo na kuziona hizo changamoto utakuja kuniambia.
Kama unataka kujua kaa na watu wazma wazee wakwambie.
Kulea mtoto wa mtu mwingne kunahitaji busara zaid ya ujuavyo ww.
Usikir kutoa ada na malazi ndio hayo pekee kuna shughuli ya kumjenga kitabia na maadili utakayo ww hapo ndio maneno ya anamnyanyasa kwasababu sio wake ndipo huanzia na usiommbe mama yake na yeye kama hazmtoshi ndio balaa
 
Jamani hawa wanawake walio na watoto bila kuwa na waume wana tabia mbayambaya sana.Naomba tusiwajumuishe WAJANE katika hili make wao ilitokea tu kwa mapenzi ya mungu.Hawa wengine waliobebeshwa mimba zaidi ya mara moja hawafai hata kidogo wengi wao wanatabia chafu sana na si watulivu ktk suala zima la mapenzi.Ukimuoa mwanamke wa hivi unajitafutia BP au KIFO kabisa kama utakuwa na mali.Wale ukikutana naye ni kukanyaka na kulala mbele kila mtu anachukua time zake.
 
mada nzuri sana hii.
suala hili ni rahisi sana kulizungumza but kiutekelezaji haliko hivyo.
kwa jinsia zote ni mara chache sana mtu yuko tayari kuoa/kuolewa na mwenza mwenye mtoto. Ishu sio ukatili ni kujaribu kuepuka changamoto za mahusiano zinazotokana na uwepo wa mtoto asie wao.

nadhani ni vyema sasa kila kijana athamini mahusiano aliyo nayo, kina kaka waachane na tabia za kusema niko naye tu na sina future nae. Kina dada wawe more careful katika mahusiano kwa kuepuka watoto wasiotarajiwa. zibaki cases chache za wale waliooana ikashindikana kabisa.
 
Jamani hawa wanawake walio na watoto bila kuwa na waume wana tabia mbayambaya sana.Naomba tusiwajumuishe WAJANE katika hili make wao ilitokea tu kwa mapenzi ya mungu.Hawa wengine waliobebeshwa mimba zaidi ya mara moja hawafai hata kidogo wengi wao wanatabia chafu sana na si watulivu ktk suala zima la mapenzi.Ukimuoa mwanamke wa hivi unajitafutia BP au KIFO kabisa kama utakuwa na mali.Wale ukikutana naye ni kukanyaka na kulala mbele kila mtu anachukua time zake.

uliyoongea ni sahihi hata mm siwez kuwajumuisha wajane.
Ila hawa wengne hawa ni hatari maranyingi ukifatilia background zao walikuwa kibur,dharau,majivuno na kuchagua wanaume wenye uwezo kifedha na ukiruka njia.
Sasa wakisha tandikwa mimba na kuzalishwa wanajifanya watulivu na wengne wanakimbilia kuokoka kumbe ni ni chui wanavaa ngoz ya kondoo. Yaan hawa ni hovyo kabisa.
 
Single moms wengine wanalazimisha, nimeshashuhudia mwanamke akilazimisha kuzaa na mme wa mtu, sasa wengine bado tunajiuliza, je kuwa single mom ni kulazimisha uzazi? Au kushindwa majukumu ya ndoa? Au labda kutokua makini na mwili wako mpaka kikatinga?
Ila wengine tunakubaliana nawe, sio mwisho wa maisha, tena kama una roho ya upambanaji, basi, utapata maendeleo zaidi..
Ila tena hapo linakuja swala la uwepo wa mwanaume kwenye maisha yako na ya mtoto au watoto, watoto kukua bila mzazi mmoja wapo wataalam wanashauri tujiepushe...
Hii thread its still open for debate....
Asante kwa kuileta humu...
 
you have to say ur among those miafrika.

Dude, you got issues!

My tagline has always been "Miafrika Ndivyo Tulivyo".

Now, what part of that (those three words) is not that comprehensible to you?

Is it Miafrika? Is it Ndivyo? Or is it Tulivyo?

You are worse than a Special Ed kindergartener! Good grief!
 
Dude, you got issues!

My tagline has always been "Miafrika Ndivyo Tulivyo".

Now, what part of that (those three words) is not that comprehensible to you?

Is it Miafrika? Is it Ndivyo? Or is it Tulivyo?

You are worse than a Special Ed kindergartener! Good grief!

kajifunze upya kingereza. good grief ndio kitu gani? inaonekana wewe ungesoma udaktari ungedhani ile ni lugha ya mawasiliano, ushamba huu.
 
kajifunze upya kingereza.

"kingereza" ndo lugha gani?

good grief ndio kitu gani?

I am very surprised

"I have four computers at home" "Good grief. What do you do with them all?"
Usage notes: often used humorously, when someone pretends that a situation is more serious than it really is:

Good grief, look at all this food! Are you feeding an army?


Good grief

inaonekana wewe ungesoma udaktari ungedhani ile ni lugha ya mawasiliano, ushamba huu.

Wewe ni zaidi ya mjinga. Wewe ni zaidi ya juha. Wewe sina hata kundi la kukuweka maana kama hujui kuwa dhumuni au lengo kuu la lugha yoyote ile ni mawasiliano, basi ngoja tu nikuache kama ulivyo!
 
"kingereza" ndo lugha gani?



I am very surprised

"I have four computers at home" "Good grief. What do you do with them all?"
Usage notes: often used humorously, when someone pretends that a situation is more serious than it really is:

Good grief, look at all this food! Are you feeding an army?


Good grief



Wewe ni zaidi ya mjinga. Wewe ni zaidi ya juha. Wewe sina hata kundi la kukuweka maana kama hujui kuwa dhumuni au lengo kuu la lugha yoyote ile ni mawasiliano, basi ngoja tu nikuache kama ulivyo!

wewe ni mjinga wa kwanza siku ukipata fursa ya kufika south korea, Japan na china ndio utajithibitishia ujinga wako.

watu wote wenye akili sasa hivi wanajifunza kichina ndio fursa mpya ya kibiashara na Tanzania. akili za kitumwa na ndio maana si ajabu ukiishi utumwani.
 
wewe ni mjinga wa kwanza siku ukipata fursa ya kufika south korea, Japan na china ndio utajithibitishia ujinga wako.

Wewe ni mjinga wa mwisho kabisa kwa sababu hapo umesadiki pasi na msingi wowote ule kwamba mimi sijawahi kufika kwenye hizo nchi ulizozitaja. Hujui nimefika wapi na wapi hapa duniani kwa hiyo acha kuandika kana kwamba unajua. Hujui.

watu wote wenye akili sasa hivi wanajifunza kichina ndio fursa mpya ya kibiashara na Tanzania.

Kwa hiyo?

akili za kitumwa na ndio maana si ajabu ukiishi utumwani.

Hujui ninapoishi. Kaa kimya. Fukufuku wee.
 
Tatizo papara, matokeo ya papara ndo hayo lazima uhangaike baadaye. Yahani hakuna kitu unachopanda usivune.
 
Kuna kaka yangu kaoa mwanamke ambaye tayari anawatoto wawili, anaishi mbezi jamaa aliye zaa naye anaishi mbagara likizo ya pasaka mtoto alikuja kwa mama yake sasa likizo ilipoisha ile amrudishe mtoto kwa baba yake mbagara alitoka asubuhi akarudi jiona sababu ikawa oooh foreni, kuna ugomvi mkubwa sana mpaka leo kaka anadai mkewe anaendeleza mausiano na jamaa aliyezaa naye. Du kuoa mke aliye na mtoto inataka moyo.
 
hebu ona hii 1422534_1378964045718727_2192010228329676342_n.jpg 1422534_1378964045718727_2192010228329676342_n.jpg 10274060_1395515300730268_7070733883641855426_n.jpg
ila kadada kazuri, mhhh angalia naliliii hiyo eh jamani ukimwi u=huuu jamanai ukimwi wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom