Pole sana dada

Pole sana dada

Sasa huoni kama njia aliyotumia huyo binti kushout out (juu ya 'kuteswa' kwake) imekuwa ni tatizo zaidi ya kuteswa? Imagine kwenda jela na kunyea debe wakati angeweza hata kutoroka akaiba say pesa au vitu ajilipe kama alikuwa hata mshahara halipwi.

Kufanyiwa unyama na kuondoka tu nako kunahitaji moyo na ni binadamu wachache sana wanaweza hili

Kama vile ambavyo tunaona ni hali ya ubinadamu tu iliyompelekea huyo jamaa kumuadhibu huyo dada kwa ukatili aliomfanyia huyo mtoto vivyo hivyo tuone ni ubinadamu tu umemuongoza huyo dada kufanya aliyofanya!
 
Me ninachoelewa kuhusu hawa mabinti wa kazi wa siku hizi ni kuwa, wengi wao wanafanya hizo kazi kwa sababu tu hawana cha kufanya ila hawazipendi kabisa. Na ndio maana unakuta ni wachache sana wako commited na kazi zao. Hii inapelekea wao kufanya kazi zao kwa hasira ama kalazimishwa vile. Hii huwafanya kuchukia au kuwa na kinyongo au kuona ananyanyasika au pengine kuonewa pale anapoelekezwa kazi.
Hivyo kwenye hii ishu ya dada wa kazi kuna mengi sana ya kuangalia.
 
Yan huna hata haya unaona alichomtendea malaika huyo ni haki? Huo ni upuuzi, cdhan kma wew ni great thinker! Hata kma boss kamuudhi ndo amdhuru mtoto??? haiingii akilini. Unajua mtoto wangu ameniumaje? Me mwenyew kumpga mwanangu naogopa af just a maid aje anifanyie hivyo mwanangu??? Mfyuuu!! Nakunyonga kwa mkono wangu

Lazima utakuwa na matatizo ya akili wewe .....!!
 
Me ninachoelewa kuhusu hawa mabinti wa kazi wa siku hizi ni kuwa, wengi wao wanafanya hizo kazi kwa sababu tu hawana cha kufanya ila hawazipendi kabisa. Na ndio maana unakuta ni wachache sana wako commited na kazi zao. Hii inapelekea wao kufanya kazi zao kwa hasira ama kalazimishwa vile. Hii huwafanya kuchukia au kuwa na kinyongo au kuona ananyanyasika au pengine kuonewa pale anapoelekezwa kazi.
Hivyo kwenye hii ishu ya dada wa kazi kuna mengi sana ya kuangalia.

Mbona hujaangalia mengi hapa?
 
Me ninachoelewa kuhusu hawa mabinti wa kazi wa siku hizi ni kuwa, wengi wao wanafanya hizo kazi kwa sababu tu hawana cha kufanya ila hawazipendi kabisa. Na ndio maana unakuta ni wachache sana wako commited na kazi zao. Hii inapelekea wao kufanya kazi zao kwa hasira ama kalazimishwa vile. Hii huwafanya kuchukia au kuwa na kinyongo au kuona ananyanyasika au pengine kuonewa pale anapoelekezwa kazi.
Hivyo kwenye hii ishu ya dada wa kazi kuna mengi sana ya kuangalia.

Hii pia yaweza kuwa sababu kubwa tu. Mdada akiona wenzake wa rika lake wanaenda shule, automatically hajisikii vizuri zaidi ya kuwa na hasira tu. Hii nayo hupelekea mabaya kama haya kufanyika.

Lakini pia tusisahau mabosi walio wengi wanavyowatrit hawa madada.

Kuna wimbi la wanaume wanawaingilia watoto wa watu bila ridhaa yao, wengine hata kinyume na maumbile, kuna kufanyishwa kazi masaa mengi kupitiliza. Wao huanza kuamka saa kumi alfajiri na wao ndio wa mwisho kulala saa sita usiku. Kuna wazazi hawawapi chakula wao hula makombo tu, kuna wengine wajifanya kuwatunzia mishahara yao huku wakiwalipa mishahara kidogo sana. Yapo mengi sana nyuma ya pazia.
 
Hindsight is 20/20!

But without hearing from the girl it would be impossible for us to discern what was really going on in that household that perhaps made her go postal.

It's very possible she wasn't in the right frame of mind.

Nakubaliana nawe, kwa muda tunahisi tu. Sikatai kuna watu wanaabuse sana maids na kuna maids kama walivyo binadamu au waajiriwa wengine ni vichomi. Ila kudismiss ukatili aliofanyiwa princess eti kisa huenda mdada alikuwa anakipizia sio fair kabisa.

Justice inapaswa kutendwa. Kuna justice iliyo just? Ukiniuliza hilo swali nitasema sio rahisi kwa binadamu maana kuna emotions, uongo, na rushwa za kuzidi.

Of course wito kwa waajiri ni kutreat less privileged people as human being. Sio tu kwa ajili ya kulinda watoto wetu bali ni kwakuwa it is a right thing to do.
 
wazazi hawapo karibu na watoto wao kabisa ninavyoamini mimi ule ukatili alioufanya yule inawezekana siyo mara ya kwanza,,na kwa kipigo kama kile mzazi aliye karibu na mwanaye ataweza kuona alama za vidole mashavuni au mwilini lakini dada wa kazi anaachiwa kila kitu mama hamuogeshi mwanaye hata siku moja yupo bize dada yupo. video inatisha lakini wazazi muwe karibu na watoto wenu.
 
Kufanyiwa unyama na kuondoka tu nako kunahitaji moyo na ni binadamu wachache sana wanaweza hili

Kama vile ambavyo tunaona ni hali ya ubinadamu tu iliyompelekea huyo jamaa kumuadhibu huyo dada kwa ukatili aliomfanyia huyo mtoto vivyo hivyo tuone ni ubinadamu tu umemuongoza huyo dada kufanya aliyofanya!
Sijasema aondoke tu. Anaweza fanya madhara sehemu nyingine ambayo itamhurt the most huyo bazazi bila kumdhuru innocent kid. Awe creative.

again mzazi reaction yake kwa maid inaeleweka kwasababu huyo ndio muhusika no moja. So reaction ya binti ingekuwa kumwagia maji ya moto mwenye nyumba anayemtesa na sio mtoto.

naona umeamua kutokuelewa tu.
 
Sijasema aondoke tu. Anaweza fanya madhara sehemu nyingine ambayo itamhurt the most huyo bazazi bila kumdhuru innocent kid. Awe creative.

again mzazi reaction yake kwa maid inaeleweka kwasababu huyo ndio muhusika no moja. So reaction ya binti ingekuwa kumwagia maji ya moto mwenye nyumba anayemtesa na sio mtoto.

naona umeamua kutokuelewa tu.

Tatizo wewe unamchagulia jambo la kufanya huyu binti na sio kuangalia hali halisi

Tatizo la binti kumfanya vile inawezekana ni huyo jamaa,na huyo mtoto ni wa huyo jamaa,huyo jamaa amemtenda vile huyo binti kwasababu anadhani huyo ndio mtuhumiwa no 1 wakati anaweza kuwa ni yeye mwenyewe kwa kuanza kumtesa binti wa watu

Hapo wpte ni mabazazi tu .....

Tena huyu mwanzilishi ndio hafai kabisa!
 
Run a background check on househelps? Well next time I will read the CV a
PHP:
nd call up a few referees.

If the pay is enough? Enough is subjective. Why dont we ask a couple of employees in here if their pay is enough and see what answers we come up with!!


Kukagua why my son was threatened? Do you mean to say a two year old can do anytjimg that calls for such a threat?

It is because alikuwa anaitwa avishwe chupi but he was on the move like all toddlers are at his age. If you are patient enough since he can speak and I therefore cant get you an answer at this time, I could ask in a couple of years!!

In the mean time why dont you have yourself a baby or two then you can experoence a Parents peril.
Matatizo ya hawa wadada huwa yana chanzo zaidi ya kimoja,ni jukumu la mwajirkagua mtu anaemuajiri kumlelea mwanae ni mtu wa aina gani

Huyo ambae anafanya kitendo hicho bosi wake anaweza kuwa chanzo kwa maana moja au nyingine,kumyima binti yako wandani haki yake ya kuwa na mahusiano ni kosa na linaweza kuleta mambo haya,lakini pia bado inaweza kuwa chanzo sio hiki pekee ...

Hapana,nimesema kuwa huyu dada kama angekuwa ni kchaa basi asingekaa nao muda wote huo,lakini pia hata kama mfano angekuwa ni kichaa basi huyo mwajiri wake asingekuwa na haki ya kumuadhibu namna ile kwasababu huyu alifanya hivi bila ridhaa yake lakini pia bado huyu mwaajiri wake anatakiwa apewe kibano kwa kutokukagua huyu mtu ana background gani kabla ya kumpa dhamana ya kulelea mtoto

Yote yanamrudia tu .....

Sina lengo la kumbebesha lawama asiestahili,nimesema na ninasema kuwa huyo dada kama ni mzima kiakili ni lazima awajibike kwa makosa yake,lakini kama kuna mtu mwingine ambae nae anaweza kuhusika kwa namna mopja au nyingine nae awajibike pia ....

Unamlipa kiasi gani?

Kinatosha?

Sijui kama hata ulikagua sababu iliyopelekea hilo kutokea ......!!
 
Mkuu sidhani kama kuna mtu amehalalisha hapa. Anachojaribu kuelezea mtoa mada ni kuwa makini jinsi mnavyowatreat hawa mabinti. Tenda wema utendewe
Hakuhitaji tukio la ukatili wa yule mtoto kufikisha ujumbe wake.
na by the way hatuhitaji kuwatreat binadamu wengine (sio maids tu) vizuri ili wasitudhuru (as defense mechanism); tunapaswa kuwatendea watu vizuri kwa sababu ndivyo inavyopaswa. Hata asiyeamini uwepo wa Mungu analijua hili.
 
Hakuhitaji tukio la ukatili wa yule mtoto kufikisha ujumbe wake.
na by the way hatuhitaji kuwatreat binadamu wengine (sio maids tu) vizuri ili wasitudhuru (as defense mechanism); tunapaswa kuwatendea watu vizuri kwa sababu ndivyo inavyopaswa. Hata asiyeamini uwepo wa Mungu analijua hili.

It's all about the golden rule.
 
Unadeal vipi na mtu mzima mwenzio ambae pengine hata kumsogelea tu uongee nae neno moja tu unatakiwa ujipange wiki nzima??

Still angetafuta njia nyengine Sio kumfanya mtoto vile wallah nimeona hiyo clip sijaweza kuimaliza ..
 
Still angetafuta njia nyengine Sio kumfanya mtoto vile wallah nimeona hiyo clip sijaweza kuimaliza ..

Katika kulipiza visasi hakuna anayechagua "njia rahisi", wote huchagua njia itakayomuumiza mhusika the most.
 
Ulishawahi kutendewa unyama na mtu halafu ukaondoka tu?

Maana binadamu tunajidai ni watakatifu sana wakati na sisi ni wale wale tu ....!!

Yakusema unyama unamanisha waaina gani? Sababu Sio kila baya lazima ulipe baya sasa inategemea kosa lakini Kama utaniamini hua sipendi kujibizana napenda kuka kimnya japo itaniuma..
 
Hakuhitaji tukio la ukatili wa yule mtoto kufikisha ujumbe wake.
na by the way hatuhitaji kuwatreat binadamu wengine (sio maids tu) vizuri ili wasitudhuru (as defense mechanism); tunapaswa kuwatendea watu vizuri kwa sababu ndivyo inavyopaswa. Hata asiyeamini uwepo wa Mungu analijua hili.

I absolutely love this.
 
Back
Top Bottom