Yaah...Vidono ni utamaduni wa kuchanjia asili yake Buha-Kigoma. Ila kabla unatestiwa kama imekolea kwa kukatwa panga likidunda basi...lakini kama bado ndo nitolee.
Mtu huyo anaweza hata kupigana na watu 20 na wakafloat,risasi inadunda,kisu,panga ,mshale havifui dafu.