kama uko DSM nenda entepreneurs financial centre (efc)- wapo jirani na Millenium Towers - Kijitonyama..wanaingia katika soko na wanasaka wateja... unaweza pata hadi M 7 kwa kutumia kadi ya gari na ina bima kubwa... riba ni kama asilimia 1.7. hivi kwa mwezi
Habari Wanajamvi,
Nina hitaji mkopo wa Tshs mil.5 kwa ajili ya mradi wangu wa kilimo na ufugaji.
Kwa ambaye anaweza nisaidia tafadhali ni PM nita rejesha kwa riba kuanzia mwezi wa nne (April).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.