Kwa muda mrefu sana bandari bubu za Tanga na Bagamoyo zimetumika kuingiza bizaa bila kulipa kodi yoyote na Serikali inalijua hilo. Wala hilo si jambo jipya
Kuna upuuzi unajijenga ndani ya vichwa vya watu wachache kua "Ukiikosoa Serikali ys CCM basi wewe ni NYUMBU" yakiwafika shingoni wanajisogeza upaze sauti nao!
Sio kweli na labda umesahau pale JK alipotoa sifa kwa JPM alipofanya ziara ya kustukiza kama sio Hazina basi Muhimbili. Na labda alitegemea kuona mambo yangeishia kule kule lkn baada ya hotuba Bungeni na mwendelezo wa ufanyaji kazi wa JPM kila mmoja anaanza kumuona jamaa kama kawasaliti. (Huo...
Tatizo mnapenda kutoa sifa za mtu hata pale anapobolonga nani asiejua safari nyingi za nje zilikua mzigo kwa Taifa? sio Maguguli tu hata Benard Membe amekili hazalani kua walikua wakipishana Angani kama vile huku Nyumbani kunawaka Moto! Je huyu nae? Je Ile kauli ya Prof Baregu, Mbatina Mketo juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.